CAF angalieni Soka la Afrika kuna kipindi Vitakuja tokea Vita

CAF angalieni Soka la Afrika kuna kipindi Vitakuja tokea Vita

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Pamoja na mimi kuwa mshabiki wa team nyingine ila hili wanalofanya Plateau ni soka la Kizamani sana. Fitna na Hujuma havisaidii mpira.

hawa ni kuwatibu kama wydada vs mamelodi waarabu wa morroco wamesha nyooka kabisa siku hizi wamepunguza ujanja ujanja huu.

nakumbuka mechi za msimu uliopita mamelodi alianzia ugenini mechi ya makundi akafanyiwa uhuni wa ajabu ajabu kama huu.

mamelodi walitoa option kama kufanikiwa basi mtafanikiwa kwa haya mliofanya lakini kama mtafeli kupata matokeo basi kwa madiba mmepanda miba wenyewe.

vijana wa pitso walipambana kufa kupona pamoja na ujanja ujanja wa wydad ngo ikamalizika kwa suluhu tasa.

hapo hapo pitso kaita uongozi wa wydad na kuwambia karibuni south mje mkitambua chochote kizuri mlichofanya sisi tutafanya mara 10 zaidi na kama kuna lolote baya mlilotufanyia basi sisi tunakwenda kufanya mara 100 yake na hapo watu wakapanda ndege kurudi south.

muda wa mechi ukwadia na wydad wakasafiri salama. walivyopokelewa ni hivyo hivyo mpaka muda wa mechi yani jamaa waliwekwa kwenye nyumba ndogo sana ambapo waliweza kukaa tu hakuna kulala wala mazoezi hayakufanyika kwa wakati.

matokeo mamelodi anampiga mtu 2 vzr kabisa bila shida. alafu wakaambiwa wande wakafanye tena yale kama yana faida basi wamefaidika. kama ni mabaya basi waache. kiukweli zimekuwa siku hakuna timu ilioenda kucheza morroco wakalalama tena na hivi vitu vya ajabu.

so hapo what if, jamaa watafeli kupata matokeo?
 
hawataki mechi ionyeshwe live halafu walikuw an aplan ya kusingizia wachezaji wa5 wa simba wana corona wasicheze,chama,boko,luis,kagere,manula
Hawataki mechi ioneshwe live kwasababu zipi? Kama ni terms za malipo hazijaafikiana basi waoneshaji waweke huo mpunga unaohutajika ili mechi ioneshwe live.
 
Mkuu kwani Kuna nini huko Nigeria??
Figisu figisu nyingi sana. Ikiwa ni pamoja na kusingizia wachezaji 6 wa simba wana Covid 19. Then simba wamekataliwa wapishi wao wasipike chakula chao ktk hotel waliyofikia. Na match wanaijeria wamekataa isioneshwe.
 
Hawataki mechi ioneshwe live kwasababu zipi? Kama ni terms za malipo hazijaafikiana basi waoneshaji waweke huo mpunga unaohutajika ili mechi ioneshwe live.
Soka la Afrika ukisikia timu mwenyeji haitaki kuoneshwa mechi yake hata usipate tabu kutaka kujua sababu na nini kinaenda kutokea.

CAF walitakiwa kulazimisha mechi zote ni lazima zioneshwe.
 
Soka la Afrika ukisikia timu mwenyeji haitaki kuoneshwa mechi yake hata usipate tabu kutaka kujua sababu na nini kinaenda kutokea.

CAF walitakiwa kulazimisha mechi zote ni lazima zioneshwe.
Supersport huwa wanaanza kuoneshaga kwanzia hatua ipi? Sidhani kama kwanzia hatua ambayo supersport wanaanza kuonesha kama kuna timu yeyote ile yenye ubavu wa kudiriki kuzuia mechi yao kutooneshwa live.
 
Nyie mikia subirin kipigo cha mbwa koko, malalamiko ya nini?? Na hao jamaaa wakija huku tunawapa ramani zenu zoteee!
Hii ndo inadhihirisha vyura fc ni mateja na watu wasiofikiria kwa kutumia akili zao. Mlianza hivyo hivyo kwa nkana mkabuma, mkaja kwa vita mkabuna kwa al ahly mkabuma sa subiri na kwa plateau aibu itawakuta. Af kwa kifupi hao watu mnaojipendekeza kwao hawawajui na hawana time na nyie inshort mnatia aibu.
 
Back
Top Bottom