Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #21
We ndo utakuwa wale Mbwa na Nyani aliosema Luc Eymael. Maana kwa wanayanga wenye akili hawaongei Choo hiki unachoandika kama Bwabwa. 😁Mikia mmeanza visingizio kipigo kiko pale pale
kuanzia hatua ya makundi.Supersport huwa wanaanza kuoneshaga kwanzia hatua ipi? Sidhani kama kwanzia hatua ambayo supersport wanaanza kuonesha kama kuna timu yeyote ile yenye ubavu wa kudiriki kuzuia mechi yao kutooneshwa live.
Isije ikawa unacomment bila ya kujua tunazungumzia ligi ya mabingwa wa Afrika. Hatupo kwenye ligi ya bara mkuu, hiyo ipo kando kwa muda tumewaachia wanaopaki bus kwa dakika 45 wacheze kwanzaMikia mmeanza visingizio kipigo kiko pale pale
He he hee! Nadhani ulikuwa unaandika kwa utani tu, maana kwenye soka la kimataifa, timu inayojulikana kutoka Tanzania ni Simba tu. Hata Mukoko Tonombe amekiri kwamba hadi anapokelewa airport alikuwa anajua anakuja kucheza Simba, hadi Tuisila alipomshtua... ndio maana Simba wanaitwa wa Mchangani maana hawajui kimataifa mechi mechi zinakuaje
Pengine labda kuna kitu hawajaafikiana hasa upande wa kimaslahi kati ya plateau na Azam media. Haki ya matangazo ni biashara kama zilivyo biashara zingine. Ni lazima kufanya negotiation na kufikia muafaka.kuanzia hatua ya makundi.
Nami nadhani ni ishu ya mpungaHawataki mechi ioneshwe live kwasababu zipi? Kama ni terms za malipo hazijaafikiana basi waoneshaji waweke huo mpunga unaohutajika ili mechi ioneshwe live.
Kuna watu wanajielewa mkuu. Mwingine ni huyu mdau 1kush africa naye unaweza kusema yupo mbumbumbu fc kimakosaAisee wewe huko Utopoloni upi kimakosa!
Kwa hakuna bei elekezi za kurusha matangazo..Pengine labda kuna kitu hawajaafikiana hasa upande wa kimaslahi kati ya plateau na Azam media. Haki ya matangazo ni biashara kama zilivyo biashara zingine. Ni lazima kufanya negotiation na kufikia muafaka.
Kwakweli sijui kama kuna bei elekezi ama lah. Na ndio maana nikasema Supersport huwa anaonesha mechi za Caf champions league na sidhani iliwahi tokea timu ikawagomea Supersport wasirushe matangazo live. Kuna kitu hakijakaa sawa nahisi hasa upande wa maridhiano kipesa kati ya Azam na Plateau. Au basi tuambiwe sababu walizotoa Plateau ni zipi.Kwa hakuna bei elekezi za kurusha matangazo..
Maana huwezi ukawa unajiamulia tu mfano mechi fainali caf,irushwe kwa buku wewe yako unataka elfu 10..kisa unakomoa ili isirushwe..
Nadhani CAF kama mwenye ligi ndiye awe anatoa hizo rights na timu kupewa chake tu kama migao mingine.
Hii ndo inadhihirisha vyura fc ni mateja na watu wasiofikiria kwa kutumia akili zao. Mlianza hivyo hivyo kwa nkana mkabuma, mkaja kwa vita mkabuna kwa al ahly mkabuma sa subiri na kwa plateau aibu itawakuta. Af kwa kifupi hao watu mnaojipendekeza kwao hawawajui na hawana time na nyie inshort mnatia aibu.
Mbona ujamalizia tukaja kwa Ud songo napo ikabumaHii ndo inadhihirisha vyura fc ni mateja na watu wasiofikiria kwa kutumia akili zao. Mlianza hivyo hivyo kwa nkana mkabuma, mkaja kwa vita mkabuna kwa al ahly mkabuma sa subiri na kwa plateau aibu itawakuta. Af kwa kifupi hao watu mnaojipendekeza kwao hawawajui na hawana time na nyie inshort mnatia aibu.
ki.ma wewwYaani leo mikia ndo mwisho wenu leo mna bugizwa, si chini ya 7 bila mamayo zenu, yaani mnauwawa ugenini kisha mnakuja kuzikwa nyumbani nguruwee nyie....
we jamaa mp.uuzi kweliSimba wapambane uwanjani, Izo figusu ni zakawaida kwenye mechi za Caf kuto onyesha kwa mechi ni Jambo dogosana kunafigisu bado watakutana nazo kabla na baada ya mechi ndio maana Simba wanaitwa wa Mchangani maana hawajui kimataifa mechi zinakuaje.
Ayo ni Mambo ya kawaida Uko magharibi au kaskazini ya Afrika, Nikama wao Simba walivyokua wakipulizia Dawa vyumba vya timu pinzani.
Kwani ud songo alishindaMbona ujamalizia tukaja kwa Ud songo napo ikabuma
Hatua za awali haki za matangazo wamepewa team mwenyeji ila kuanzia makundi haki za matangazo ni za Caf so Plateau wametumia hicho kigezo kufanya yao kitaratibu hawana makosa.Kwakweli sijui kama kuna bei elekezi ama lah. Na ndio maana nikasema Supersport huwa anaonesha mechi za Caf champions league na sidhani iliwahi tokea timu ikawagomea Supersport wasirushe matangazo live. Kuna kitu hakijakaa sawa nahisi hasa upande wa maridhiano kipesa kati ya Azam na Plateau. Au basi tuambiwe sababu walizotoa Plateau ni zipi.
Ndo ungese unaotukwamisha sisi watanzania..Nyie mikia subirin kipigo cha mbwa koko, malalamiko ya nini?? Na hao jamaaa wakija huku tunawapa ramani zenu zoteee!