Shukrani kwa ufafanuziHatua za awali haki za matangazo wamepewa team mwenyeji ila kuanzia makundi haki za matangazo ni za Caf so Plateau wametumia hicho kigezo kufanya yao kitaratibu hawana makosa.
Leo nimejifunza TUSI jipya!Wewe ni sehemu ya kutolea haja kubwa. Hizi ni comments za kichooni kabisa. Unadhani hapa ni Uyanga na Usimba?
Kwenye hali kama hii, mimi hua naweka ushabiki wangu wa Yanga pembeni, Taifa langu kwanza, haya wanayofanyiwa Simba kama ni kweli lazima tushirikiane nao kuhakikisha upuuzi kama huu haupati nafasi ya kuendelea kufanywa hii ni sawa na hujuma kwa Taifa langu, Together we can make it.!!hawataki mechi ionyeshwe live halafu walikuw an aplan ya kusingizia wachezaji wa5 wa simba wana corona wasicheze,chama,boko,luis,kagere,manula
Dah hii ya kusema wachezaji Watano wa simba wanakorona ndo ingeonekana kabisa ni hujuma na ushamba kwani wao nao si watakuja ?hawataki mechi ionyeshwe live halafu walikuw an aplan ya kusingizia wachezaji wa5 wa simba wana corona wasicheze,chama,boko,luis,kagere,manula
Kweli kwa hapa sio sehemu ya kuweka ushabiki uyanga na usimbaKwenye situation kama hizi huwa naungana na taifa langu. Simply kwasababu kilichomkuta mamba na boko kitamkuta.
em tufanye hivi labda ndo tutaelewana. Tp Mazembe wanamtaka Fei Toto, Yanga wanataka Billion 5. Kwa lugha nyepesi tunasema Yanga hawataki kufanya biashara na TP Mazembe.Nadhani issue sio figisu, issue ni kutoelewana kwenye walahi. Azam wangefika bei mechi ingeoneshwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ni lini tuliacha kupuliza madawa kwenye vyumba vya wachezaji?Pamoja na mimi kuwa mshabiki wa team nyingine ila hili wanalofanya Plateau ni soka la Kizamani sana. Fitna na Hujuma havisaidii mpira.
HAWA NI KUWATIBU KAMA WYDADA VS MAMELODI WAARABU WA MORROCO WAMESHA NYOOKA KABISA SIKU HIZI WAMEPUNGUZA UJANJA UJANJA HUU.
NAKUMBUKA MECHI ZA MSIMU ULIOPITA MAMELODI ALIANZIA UGENINI MECHI YA MAKUNDI AKAFANYIWA UHUNI WA AJABU AJABU KAMA HUU.
MAMELODI WALITOA OPTION KAMA KUFANIKIWA BASI MTAFANIKIWA KWA HAYA MLIOFANYA LAKINI KAMA MTAFELI KUPATA MATOKEO BASI KWA MADIBA MMEPANDA MIBA WENYEWE.
VIJANA WA PITSO WALIPAMBANA KUFA KUPONA PAMOJA NA UJANJA UJANJA WA WYDAD NGO IKAMALIZIKA KWA SURUHU TASA.
HAPO HAPO PITSO KAITA UONGOZI WA WYDAD NA KUWAMBIA KARIBUNI SOUTH MJE MKITAMBUA CHOCHOTE KIZURI MLICHOFANYA SISI TUTAFANYA MARA 10 ZAIDI NA KAMA KUNA LOLOTE BAYA MLILOTUFANYIA BASI SISI TUNAKWENDA KUFANYA MARA 100 YAKE NA HAPO WATU WAKAPANDA NDEGE KURUDI SOUTH.
MUDA WA MECHI UKWADIA NA WYDAD WAKASAFIRI SALAMA. WALIVYOPOKELEWA NI HIVYO HIVYO MPAKA MUDA WA MECHI YANI JAMAA WALIWEKWA KWENYE NYUMBA NDOGO SANA AMBAPO WALIWEZA KUKAA TU HAKUNA KULALA WALA MAZOEZI HAYAKUFANYIKA KWA WAKATI.
MATOKEO MAMELODI ANAMPIGA MTU 2 VZR KABISA BILA SHIDA. ALAFU WAKAAMBIWA WANDE WAKAFANYE TENA YALE KAMA YANA FAIDA BASI WAMEFAIDIKA. KAMA NI MABAYA BASI WAACHE. KIUKWELI ZIMEKUWA SIKU HAKUNA TIMU ILIOENDA KUCHEZA MORROCO WAKALALAMA TENA NA HIVI VITU VYA AJABU.
SO HAPO WHAT IF, JAMAA WATAFELI KUPATA MATOKEO...?
Wanatafuta kisingizio tu. Hii game washapigwa.Hao washapigwa mpaka hapo
Kuna Chanel maalum ambazo hizo game za CAF zinaonyeshwa, kuna mdau kazitaja kwenye uzi mwingine.Soka la Afrika ukisikia timu mwenyeji haitaki kuoneshwa mechi yake hata usipate tabu kutaka kujua sababu na nini kinaenda kutokea.
CAF walitakiwa kulazimisha mechi zote ni lazima zioneshwe.
Tuambie LiboloHii ndo inadhihirisha vyura fc ni mateja na watu wasiofikiria kwa kutumia akili zao. Mlianza hivyo hivyo kwa nkana mkabuma, mkaja kwa vita mkabuna kwa al ahly mkabuma sa subiri na kwa plateau aibu itawakuta. Af kwa kifupi hao watu mnaojipendekeza kwao hawawajui na hawana time na nyie inshort mnatia aibu.
Simba inajulikana sana Congo DRC, imekuwa ikikalia kila ikikutana na TP Mazembe au Club Vita. Treasor Mputu tutamisi sana.He he hee! Nadhani ulikuwa unaandika kwa utani tu, maana kwenye soka la kimataifa, timu inayojulikana kutoka Tanzania ni Simba tu. Hata Mukoko Tonombe amekiri kwamba hadi anapokelewa airport alikuwa anajua anakuja kucheza Simba, hadi Tuisila alipomshtua
Ni kwa kuwa hakuna timu nyingine ya Tanzania inayofika hatua za kukutana na timu kali kwenye makundi zaidi ya Simba.Simba inajulikana sana Congo DRC, imekuwa ikikalia kila ikikutana na TP Mazembe au Club Vita. Treasor Mputu tutamisi
Hao jamaa ni wapuuzi,kwanj Azam walitaka iwe bure? Bora kupata 10 kuliko 0 na kipigo juu.Nadhani issue sio figisu, issue ni kutoelewana kwenye walahi. Azam wangefika bei mechi ingeoneshwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app