Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Unalalalamika wewe au sisi?Malalamiko fcI
Wydad, Al Ahly, ES,Mamelod huku tukiwa na nomination vipengele vinne.Akina Marumo
Ni wangapi afrika?Una mafanikio gani ya kumzidi enyimba ?
Klabu bora ni usm algerHebu tuondoe uzalendo na tuwe serious club bora Africa zinafahamika ni akina Al Ahly, Wydad, Mamelod hebu Uto tupisheni kwanza tupige kura kama inavyotakiwa.
nimefurahi nimemuona baleke na kibu denisVipi mayele anatoboa hapo ?View attachment 2800125
Sawa ila tupo kwenye wale wachache kati ya wengi walio teuliwa na CAF.Ambavyo hamtachukua hata tuzo moja
HahahahahahaAngalia hiyo picha vizuri kuna hadi Marumo hapo kwahiyo na wao ni wakubwa
Wachezaji wa ndaniINTERCLUB PLAYER ni tuzo gani?
Labda wana vigezo vyao ,maana ktk kupata hizo timu 10, wamechukua 4 zilizofika nusu shirikisho na na 6 za champions leagueNimeshangazwa pia wakati kafika mpaka fainali ya kombe la mbuzi
Tuko na wenzetu wakina Wydad,Al Ahly,Mamelod, ES hawa ndio level yetu na ndio maana tupo kipengele kimoja.Nyie na Marumo ndo miongoni mwa zile timu mbili kwaajili ya kutimiza idadi
Ni level mbili tofauti, hiyo level unayo iona ni washindani ambao wabiganaji, level yenu nyinyi ni washiriki Mwakarobo FC.Na ndio super league yenu hiyo msimu huu