Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Timu za cafcl ,4 zilizocheza Nusu na mbili zikaongezwa ,wana kanuni yao huwa wanaitumiaRaja hakufika nusu fainali msimu uliopita mkuu
Sasa wenye kombe lao CAF,ndio wamewaona nakuwaweka kwenye kupengele kimoja na Al Ahly, Mamelod,ESP na Wydad,yaani hapo ni sawa na kusema hao ndio wanaume wa 22/23.Wapiganaji wa kombe la mbuzi aka luza baada ya kutolewa kwenye mashindano ya wanaume hatua ya awali Cafcl
Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani."Hoooo tupo na wakubwa wenzetu huku........"
Haya wakubwa wenzenu tupo nao kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za CAF.Nyie mnaojiita wakubwa mpo wapi hatuwaoni hapo.
Ndio tumo wewe kama haumo ni swala lako endelea kuishia robo kwani hata ukipewa nafasi unaota moto katikati ya uwanja.Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.
Huwezi kumuona Simba hapo kufanywa kenge.Kenge ni kina Marumo na wengine mnaojijua.
Msijione mamba wadogo
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mambo mengine CAF wajifikirie aisee sasa unamuwekaje Malumo na Mamelod sehemu moja wagombanie tuzo? Nazani umenielewaKafika nusu fainali caf
Yaani kumshindanisha Mamelod na Marumo ndio serious? Acha utani mzeeHapa ndio utajua jinsi gani CAF wapo serious sasa,sio ile futuhi ya AFL.
Hizo mbili zilizoongezwa ambazo hazikufika nusu sio viti maalum?Nusu fainali ni 8 kwa pande zote,hapo kuna timu 10 so 2 azikufika nusu fainali ila kuna vigezo vilivyofanya wakaingia hapo kutimiza idadi ya timu 10,marumo yuko hapo kwa kufika kwake nusu fainali,hapo hamna viti maalum km kule kwenye super league jomba
Angalia nominees kama hakuna mchezaji anaetoka club ya nje ya afrika basi ujue ni tuzo ya mchezaji anaecheza ligi za afrika tuINTERCLUB PLAYER ni tuzo gani?
Wametoka nduki.Kufa kiume fc
Mtoe yanga hapo
Nyie mliocheza UEFA mko wapi kwenye list Mkuu?Ihefu wamesoma hili bandiko wamecheka ππππ
Timu inagombea club bora kwa kucheza europa hivi kweli na wewe umekuja kupost huoni aibuπππ
Yanga bwana
Haya ilanfya anawasalimu
ππ½
Ah πππ mkuu we ni Yanga tena kumbeNyie mliocheza UEFA mko wapi kwenye list Mkuu?