David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Kwa tuliosoma saikolojia ya binadamu tumekuelewa,Unajichesha na emoj uku moyo wako una maumivu makaliIhefu wamesoma hili bandiko wamecheka ππππ
Timu inagombea club bora kwa kucheza europa hivi kweli na wewe umekuja kupost huoni aibuπππ
Yanga bwana
Haya ilanfya anawasalimu
ππ½
Yanga ni hatari mkuuIhefu wamesoma hili bandiko wamecheka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Timu inagombea club bora kwa kucheza europa hivi kweli na wewe umekuja kupost huoni aibu[emoji23][emoji16][emoji16]
Yanga bwana
Haya ilanfya anawasalimu
[emoji1417]
[emoji23][emoji119]Nyie mliocheza UEFA mko wapi kwenye list Mkuu?
Kabisa mkuu... makolo walivalishwa shanga ...... kwenye Abiola cupWANAUME MUNAOJISIFIA KUVALISHWA SHANGA MUKUJE HUKU KUNA THREAD YENU.
Emoji ya kwanza ya kucheka ......izo mbili za maumizuKwa tuliosoma saikolojia ya binadamu tumekuelewa,Unajichesha na emoj uku moyo wako una maumivu makali
Hahahaaaa... Punguza hasira b...!Nyie mliocheza UEFA mko wapi kwenye list Mkuu?
Hapa umenionea b⦠Mbona nimeuliza kwa upole kabisa?Hahahaaaa... Punguza hasira b...!
Ova
Lol! B... ni kwa sababu nimeona kama hujaungana naye kwenye muktadha wa maoni yake, wewe umeleta mpya kwa sauti ya ukali sana.Hapa umenionea b⦠Mbona nimeuliza kwa upole kabisa?
Au wewe jibu unalo b�
B⦠naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?Lol! B... ni kwa sababu nimeona kama hujaungana naye kwenye muktadha wa maoni yake, wewe umeleta mpya kwa sauti ya ukali sana.
Ova
Lol! Sikujibu saa hizi, hadi uamke kwanza ili jibu likujie bila uchovu wa usingizi. Kwa hiyo lala tu kwanza ukiamka ndiyo nakujibu.B⦠naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?
Tena wewe ndio nataka ujibu maana unatamba sana na hiyo CAFCLβ¦
Shukuruni AFL ilipangwa mapema kabla hatujacheza fainali, msingegusa kule.
Jibu gani la kunizungusha hivi kama naomba uchumba?Lol! Sikujibu saa hizi, hadi uamke kwanza ili jibu likujie bila uchovu wa usingizi. Kwa hiyo lala tu kwanza ukiamka ndiyo nakujibu.
Ova
kwenye abiola ndondo cup mashabiki wa makolo hawajisifii kupata medali sababu halikuwa lengo lao ila WANACHURA CHURANI WANAJISIFIA KUVALISHWA SHANGA KWENYE KOMBE LA LOOSER.Kabisa mkuu... makolo walivalishwa shanga ...... kwenye Abiola cup
Hahahahaha, jamaa wanajifarijiNyie mliocheza UEFA mko wapi kwenye list Mkuu?
HahahahahahaHongera sana Yanga kwa kuwa timu bora East Africa. Natoa salamu za pole kwa wote walioumizwa na mafanikio haya nadhani dawa tatu itawafaa kwa wakati huu.
HahahahahaB⦠naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?
Tena wewe ndio nataka ujibu maana unatamba sana na hiyo CAFCLβ¦
Shukuruni AFL ilipangwa mapema kabla hatujacheza fainali, msingegusa kule.
Hawa watu akili kisoda sana..Haijawekwa kwa mlengo wa ukubwa maana marumo na Yanga wasingewepo hapo