CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

Ihefu wamesoma hili bandiko wamecheka ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Timu inagombea club bora kwa kucheza europa hivi kweli na wewe umekuja kupost huoni aibu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Yanga bwana
Haya ilanfya anawasalimu
๐Ÿ‘๐Ÿฝ
Kwa tuliosoma saikolojia ya binadamu tumekuelewa,Unajichesha na emoj uku moyo wako una maumivu makali
 
Hapa umenionea bโ€ฆ Mbona nimeuliza kwa upole kabisa?
Au wewe jibu unalo bโ€ฆ?
Lol! B... ni kwa sababu nimeona kama hujaungana naye kwenye muktadha wa maoni yake, wewe umeleta mpya kwa sauti ya ukali sana.

Ova
 
Lol! B... ni kwa sababu nimeona kama hujaungana naye kwenye muktadha wa maoni yake, wewe umeleta mpya kwa sauti ya ukali sana.

Ova
Bโ€ฆ naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?

Tena wewe ndio nataka ujibu maana unatamba sana na hiyo CAFCLโ€ฆ
Shukuruni AFL ilipangwa mapema kabla hatujacheza fainali, msingegusa kule.
 
Bโ€ฆ naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?

Tena wewe ndio nataka ujibu maana unatamba sana na hiyo CAFCLโ€ฆ
Shukuruni AFL ilipangwa mapema kabla hatujacheza fainali, msingegusa kule.
Lol! Sikujibu saa hizi, hadi uamke kwanza ili jibu likujie bila uchovu wa usingizi. Kwa hiyo lala tu kwanza ukiamka ndiyo nakujibu.

Ova
 
Lol! Sikujibu saa hizi, hadi uamke kwanza ili jibu likujie bila uchovu wa usingizi. Kwa hiyo lala tu kwanza ukiamka ndiyo nakujibu.

Ova
Jibu gani la kunizungusha hivi kama naomba uchumba?
Acha sound zako wewe, hamna pa kutokea safari hii acha siasa bโ€ฆ
 
Bโ€ฆ naona unanitoa relini, swali mliocheza UEFA aka CAFCL si ndio huwa mnaringa sana? Mbona hampo kwenye list ya kuwania timu bora?

Tena wewe ndio nataka ujibu maana unatamba sana na hiyo CAFCLโ€ฆ
Shukuruni AFL ilipangwa mapema kabla hatujacheza fainali, msingegusa kule.
Hahahahaha
 
Mambo mengine CAF wajifikirie aisee sasa unamuwekaje Malumo na Mamelod sehemu moja wagombanie tuzo? Nazani umenielewa
Marumo na huyo shoga yake hapo wamewekwa kutimiza tu idadi
 
Back
Top Bottom