Lakini hawalambi kitu [emoji23]Caf wanapenda engagement ya watanzania mtandaoni Kila tukio lao lazima watafute namna ya kuitupia tz ndani hii ni nzuri kwa kuitangaza nchi yetu na kukuza utalii na pia ni nzuri kuitangaza Caf duniani
Timu bora kutoka kila ukanda tuliziona super league, yanga ni bora east africa ya kijitonyamaHongera sana Yanga kwa kuwa timu bora East Africa. Natoa salamu za pole kwa wote walioumizwa na mafanikio haya nadhani dawa tatu itawafaa kwa wakati huu.
Kunywa dawa tatu kukata maumivuTimu bora kutoka kila ukanda tuliziona super league, yanga ni bora east africa ya kijitonyama
Marumo kashafika nusu fainali, sawa na Mamelodi labda kama una sumbuliwa na wivuMambo mengine CAF wajifikirie aisee sasa unamuwekaje Malumo na Mamelod sehemu moja wagombanie tuzo? Nazani umenielewa
Zilizo ishia robo?Timu bora kutoka kila ukanda tuliziona super league, yanga ni bora east africa ya kijitonyama
Mamelodi kafika nusu fainali ya nini na Marumo kafika nusu ya michuano ipi? Halafu kwenye ligi yao Mamelodi kamaliza wqngapi na Marumo kamaliza wangapi?Marumo kashafika nusu fainali, sawa na Mamelodi labda kama una sumbuliwa na wivu
Al-ahal, Mamenlody nao pia wapo mkuu, inakosekana ile timu ya kufa kiume tu, sijui kwa nini?Nasikia na Marumo yupo kwenye hiyo listi[emoji1787][emoji16]
Kijana wa Rage......punguza UjingaMamelodi kafika nusu fainali ya nini na Marumo kafika nusu ya michuano ipi? Halafu kwenye ligi yao Mamelodi kamaliza wqngapi na Marumo kamaliza wangapi?
Kuchukua golikipa bora wa mwaka.Mnaenda wapi ?
Muda huo alikua bado hajamiliki smartphone.Marumo kashafika nusu fainali, sawa na Mamelodi labda kama una sumbuliwa na wivu
Nyie ndio wajinga, Simba ilishawahi kushiriki hizo tuzo na ikarudi na mshindi sasa subirini nyie tuone mtarudi na nini
Maswali yako waulize CAF, wewe hio michuano ya nini ulifika hatua ipi?Mamelodi kafika nusu fainali ya nini na Marumo kafika nusu ya michuano ipi? Halafu kwenye ligi yao Mamelodi kamaliza wqngapi na Marumo kamaliza wangapi?
Hapo namaanisha mmewekwa kujaza nafasi kwa kuambulia vipesa kiduchu, simba akiwekwa huko lazima arudi na kitu, kumbuka sakho alirudi na niniMaswali yako waulize CAF, wewe hio michuano ya nini ulifika hatua ipi?
Sio unasikia ndivyo ilivyo, wakubwa tupu hapaNasikia na Marumo yupo kwenye hiyo listi[emoji1787][emoji16]