CAF champion league 21/22: Yanga sajirini ALEX SONG

CAF champion league 21/22: Yanga sajirini ALEX SONG

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Salaam kwenu wananchi,

Miezi michache ijayo Yanga itarejea kwny michuano tajwa baada ya kuikosa kwa muda kdg.

Sasa nikimbie kwny mada fasta:

Alexandre dimitri SONG bila shaka anajulikana.

Ni yule kiungo holding, mwenye nishati nyingi, rasta, raia wa cameroun,mwenye cv iliyoshiba.

Amechezea vilabu vifuatavyo:
Bastia, (France) Arsenal,(England)
Barcelona,
(Spain)
Westham,(England)
Rubin Kazan, (Russia)
Sion,(Swis) na sasa AS arta solar ya Djibout

Huyu bwana yupo hapo jiran Djibout.
ana mkataba wa miaka miwili.

Song ana miaka 33.
kwa exposure yake yanga ifaidika mno.

Song ni middle world class player.tumchukueni.naamini bei yake haitakuwa mbaya.

Song hapa bongo sio mgeni..aliwahi kuja mara 2 na timu yake ya taifa indomitable lion.

Song ni hardworking african veteran mashabiki wa arseli mashahidi.

Option two:
yupo pia
Nigerian genius,
Ahmed mussa.

karudi kwao nigeria.
anaichezea kano pillars.(kama hubeti hizi tim huwezi kuzijua)

umri wake ni mmoja na samatta.miaka 29.

foward huyu.si mgeni kwenu.yumo kwny squad ya super eagles.

Amechezea CSKA Moscow, Baadaye Leicester city, westbrom, baadaye akaenda irani.

Timu yake ya sasa Kano pillar ni timu ndogo na haina hela.
Yanga HAIWEZI kukosa sain yake ikiamua.
 
Umetumia akili kubwa kuwashauri ila wenzako wamekaa Airport kuvizia wacheza wa nje wanaletwa na Simba,wao kama wao hawana scouting ya kupata wacheza bora kama wa Simba.
 
Halafu ujue this time around Timu ikifika Nusu Finali ya Champions League kuna uwezekano wa kwenda CHINA kwenye WORLD CLUB CHAMPIONSHIP mwezi wa 6 mwakani 2022,,, wanaweza wakawa kundi moja hata na MAN CITY 😛
 
Umetumia akili kubwa kuwashauri ila wenzako wamekaa Airport kuvizia wacheza wa nje wanaletwa na Simba,wao kama wao hawana scouting ya kupata wacheza bora kama wa Simba.
Ukiona mtu mzima analia 😭😭 basi ujue kuna jambo! Huyu siyo Peter Banda kweli huyu aliye wavuruga!! 😁😁😁

Kagere, Larry Bwalya, Konde Boy, Morrison, na wengineo wengi! Walifanyiwa scouting na Yanga, ika mwisho wa siku mnawamiliki! Hivyo kuweni tu wapole. Huu mchezo hautaki hasira.
 
Ukiona mtu mzima analia 😭😭 basi ujue kuna jambo! Huyu siyo Peter Banda kweli huyu aliye wavuruga!! 😁😁😁

Kagere, Larry Bwalya, Konde Boy, Morrison, na wengineo wengi! Walifanyiwa scouting na Yanga, ika mwisho wa siku mnawamiliki! Hivyo kuweni tu wapole. Huu mchezo hautaki hasira.
Itakuwa ni yeye kwa kweli

20210803_182059.jpg
 
Back
Top Bottom