Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Pia mashujaa na green warriors bila kuwasahau kagera sugarTuko sawa Na Lipuli
Kwasu kwasu bado unaendelea kuzitaja au ndo mwishoPia mashujaa na green warriors bila kuwasahau kagera sugar
Tushawatungua sana hao wanaume wako.Simba mechi ya kwanza mnakutana na waarabu hesabuni mmetoka
ikifungwa inarudi shilikisho kama ulivyo utaratibu wa miaka yote.Wakifungwa je? Kanuni inasemaje?
Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja tu na kutinga hatua ya makundi na zilizocheza fainali zitaanzia makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi
Ombaomba fc...povu la nini...tulieni dawa iwaingie...nipe ile namba mnayochangishia michango kuna miatano hapa nataka niwatumie wachezaji wasije kufa njaaKwahyo amtaki ushindani mnapenda kitonga ? Pumbavu sana bodaboda fc.
Mkuu vipi wale Wanaojiita Mabingwa wa kihistoria,historia haiwezi kuwafanya wacheze mechi 2 kisha waingie Robo fainali?Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja tu na kutinga hatua ya makundi na zilizocheza fainali zitaanzia makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi
Dada upoooMimi. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nipo Dada. Habari ya siku tele?Dada upooo
Hahahhahaha Dada bwana ebu acha majungu yakoNipo Dada. Habari ya siku tele?
Nawaona tu mnavyofurahia hizi habari.
Mi sijambo Dada tuko na Ramadhani yetu.Hahahhahaha Dada bwana ebu acha majungu yako
Habari nzuri sana tu hofu kwako tu
Uwe na mfungo mwema Dada ramadhani ndio inaishia hiyoMi sijambo Dada tuko na Ramadhani yetu.
Hahahaaaa. Kama nawaona vile.
Yaani imekimbia ajabu. Haya uwe na jioni njema Dada.Uwe na mfungo mwema Dada ramadhani ndio inaishia hiyo
Ahahahha nauona usajili wenu dadaYaani imekimbia ajabu. Haya uwe na jioni njema Dada.
Sisi tunasajili tu sasa. [emoji41][emoji41]
Kumbuka hatuwezi kukutana na Waarabu kama Esperance, Wydad, Raja au Al Ahly, vile vile hatuwezi kucheza na Mazembe, Mamelodi au Horoya kwani wote tutakuwa chungu kimoja tunawasubiria washindi wa raundi ya kwanza kama Soura, Ismailia, Gor Mahia, Zesco nk.Simba mechi ya kwanza mnakutana na waarabu hesabuni mmetoka