CAF Champions 2019/20: Habari njema kwa Simba SC

CAF Champions 2019/20: Habari njema kwa Simba SC

Simba taifa kubwa, ata tukianza kama tulivyoanza msimu huu bado nina uhakika tutafanya vizuri zaidi ya msimu huu kama tukisajili vizuri kwa malengo ya klabu bingwa.
 
Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja tu na kutinga hatua ya makundi na zilizocheza fainali zitaanzia makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi

Hii sio kanuni mpya kwavile katika msimu unaomalizika timu kama Tp Mazembe, Mamelod Sundow, Al Halal ya Misri etc zilicheza mechi moja tu na kuingia katika makundi.
 
Kwahyo amtaki ushindani mnapenda kitonga ? Pumbavu sana bodaboda fc.
Ombaomba fc...povu la nini...tulieni dawa iwaingie...nipe ile namba mnayochangishia michango kuna miatano hapa nataka niwatumie wachezaji wasije kufa njaa
 
Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja tu na kutinga hatua ya makundi na zilizocheza fainali zitaanzia makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi
Mkuu vipi wale Wanaojiita Mabingwa wa kihistoria,historia haiwezi kuwafanya wacheze mechi 2 kisha waingie Robo fainali?
 
Simba mechi ya kwanza mnakutana na waarabu hesabuni mmetoka
Kumbuka hatuwezi kukutana na Waarabu kama Esperance, Wydad, Raja au Al Ahly, vile vile hatuwezi kucheza na Mazembe, Mamelodi au Horoya kwani wote tutakuwa chungu kimoja tunawasubiria washindi wa raundi ya kwanza kama Soura, Ismailia, Gor Mahia, Zesco nk.
 
Back
Top Bottom