OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Inaripotiwa kuwa kuna uwezekano wa timu ambazo zilitinga hatua ya robo fainali ya klabu Bingwa Afrika CAF Champions League msimu huu wa 2018/2019 na msimu ujao wa 2019/2020 zitakutana na timu moja tu na kutinga hatua ya makundi na zilizocheza fainali zitaanzia makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi
.
Katika timu ambazo zimecheza robo fainali msimu huu Simba Sc toka Tanzania ipo hivyo iwapo kanuni hii itafanya kazi basi Simba watakutana na timu moja tu na wakishinda kwa Aggregate Home na Away Simba wataingia moja kwa moja katika hatua ya makundi