Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Ngoja tuyafanyie kazi kombe la shirikishoMimi bado hainiingii kabisa akilini timu inacheza ugenini dakika zimeisha mnashindwa kupaki basi na mnaruhusu goli, kwakweli mimi ushabiki wa mpira siuwezi haya mambo yanaudhi. Penati huwa hazina mwenyewe tumepoteza nafasi adimu ya kuandika historia mpya leo.
timu mbovu ilingane na Toto Africans?Timu bovu kama lile mnalikosa kweli? Njooni na visingizio,ila mpira tumeuona ..!
Wanastahili pongezi sana,Oscar ndo kaigharim timu kwa kusubiri mpira umfikie mguuni.Kwa mpira ule Simba tungepigwa 10 kwa kibuyu.Ila walikuwa wanafungika hawa waarab, ishu ni yanga walianza kupaki basi, ila kwa kweli wamejitahidi sana.
huyu ndiye anayesababisha hadi timu kuvunjwa!!Hivi jamani huyu jerry muro ataacha lini kuropoka?huyu ndo anayesababisha hadi timu kufungwa.
Msikilize yule jamaa wa ITV, utacheeeka na vibweka vyake!wakimataifwa sijui kesho watakuja na lipi mi kesho nasikiliza vipindi vyote vya michezo
Barca akimfumania zoba huwa hafanyi mzaha hata kidogo. 8-0!! Dah Nimeikumbuka Deportivo ya Miguel Angel Angulo
mikia kama madem vile. eti Yanga inabebwa, mmeona shughuli?Hivi Yanga kuna ulazima gani wa kucheza na waarabu hali ya kuwa mnajua kabisa lazima mfungwe?kama mtu humuwezi bora unyooshe mikono yaishe.
Na ivunjwe tu, na ifungwe tu maana hakuna namnahuyu ndiye anayesababisha hadi timu kuvunjwa!!
Yanga hayupo matopeni anaendelea na shirikisho nyie mikia subirini kombe la chandimu ZenjiKwisha kazi! Yanga Out, Karibuni mchangani
Teh teh teh!AL ahly 2 Yanga 1.Mji kimyaaaaa!Afadhali hata kesho tutakunywa maji
tumeshaanza na Kessy, Banda na kiiza. na Mkude naye anadai ana hamu ya kupanda ndege. yote haya sababu ya MuroNa ivunjwe tu, na ifungwe tu maana hakuna namna
Teh teh teh!AL ahly 2 Yanga 1.Mji kimyaaaaa!Afadhali hata kesho tutakunywa maji