DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
CAF champions league ndo kilele Cha Mpira wa Vilabu Barani Africa
:- Au kwa Watasha unasema CAF champions league is the Pinnacle of Club football in AFRICA
:- Ni kama shule tu.Mnaweza kuanza Mia tatu (300) .Lakini Kileleni (Graduation) mkafika 50 tu .
:- Mtu yyte anayekwambia team yake imepiga hatua za mbali sana na hapa haipo.So unaweza kujiuliza walikuwa wapi na sasa hivi wapo wapi? LEVELS
That's Life [emoji2][emoji2]
:- Au kwa Watasha unasema CAF champions league is the Pinnacle of Club football in AFRICA
:- Ni kama shule tu.Mnaweza kuanza Mia tatu (300) .Lakini Kileleni (Graduation) mkafika 50 tu .
:- Mtu yyte anayekwambia team yake imepiga hatua za mbali sana na hapa haipo.So unaweza kujiuliza walikuwa wapi na sasa hivi wapo wapi? LEVELS
That's Life [emoji2][emoji2]