CAF CL 2023/2023 Yanga anaazimia kwenda kufyeka kichaka pekee cha karanga Simba alichobaki nacho CAF CL

CAF CL 2023/2023 Yanga anaazimia kwenda kufyeka kichaka pekee cha karanga Simba alichobaki nacho CAF CL

Kilimbatzz

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2023
Posts
9,134
Reaction score
14,593
Kwa sasa Simba amebaki kujificha nyuma ya Wydad, AlAhyl na "wakubwa" wengine kulingana na kamusi yake binafsi

Ukimbana kidogo kwenye kanyampasira, utasikia "mpaka mcheze siuji na Wydad, sijui Al Ahyl sijui Raja...." Utafikiri Hawa hawafungiki

Sasa Yanga ashaonja damu na hatoacha, Waarabu washachezea mtambalimbo wa Yanga Home and Away, hivyo Simba ajiandae kisaikolojia yeye na hao kaka zake aliyowafanya ngao yake.

Ole wake mtu amtegemeaye binadamu mwenzie

CAF CL 2023/2024 here we come.
 
Rais wa Yanga jana akiwa Wasafi amesema malengo yao next ni kuingia Group stage CAFCL,Nikadhani kwakuwa wamefika fainali CAFCC sasa angeweka malengo ya fainali CL kabisa,kumbe ni group stahe tu
Ana akili sana

Hata msimu huu kwenye CAF CC aliweka malengo ya kuingia makundi tu
 
Ana akili sana

Hata msimu huu kwenye CAF CC aliweka malengo ya kuingia makundi tu
Hapana usipotoshe Mkuu,malengo ya mwaka huu yalikuwa ni hayo hayo ya group stage CL au umesahau kuwa CC mlikwenda baada ya kufurushwa na Al Hilal huku kwa wakubwa? Hebu tafuta clip za Hersi akiongelea malengo haya kama kuna popote alisema malengo ni group stage CC?
 
Rais wa Yanga jana akiwa Wasafi amesema malengo yao next ni kuingia Group stage CAFCL,Nikadhani kwakuwa wamefika fainali CAFCC sasa angeweka malengo ya fainali CL kabisa,kumbe ni group stage tu
Kwani walipoweka malengo ya kufika group stage ya caf confederation cup wameishia wapi? Malengo ni jambo moja na kuyafikia ni jambo jingine, akuna mkataba unaousaini kwamba ukifika group stage basi unazuiwa kusonga mbele iyo ni akili yako tu ya kuwa na ubongo wa sisimizi!
 
Kwani walipoweka malengo ya kufika group stage ya caf confederation cup wameishia wapi? Malengo ni jambo moja na kuyafikia ni jambo jingine, akuna mkataba unaousaini kwamba ukifika group stage basi unazuiwa kusonga mbele iyo ni akili yako tu ya kuwa na ubongo wa sisimizi!
Nyamizi anajitesa bure
 
Kwani walipoweka malengo ya kufika group stage ya caf confederation cup wameishia wapi? Malengo ni jambo moja na kuyafikia ni jambo jingine, akuna mkataba unaousaini kwamba ukifika group stage basi unazuiwa kusonga mbele iyo ni akili yako tu ya kuwa na ubongo wa sisimizi!
Hata hujaelewa point yangu,si bora mimi mwenye ubongo wa sisimizi kuliko wewe uliyepuyanga kwa comment yangu bila hata kuielewa.
 
Kilichobadilika nini hapo!?

Wewe wakati unatolewa CL hukuwa na malengo ya Robo Fainali CL!?
Narudia tena kukumbusha.Nimeanza kwa kukukosoa uliposema tangu awali malengo ya Yanga ilikuwa ni group stage CC,nikakukumbusha kuwa malengo ya Yanga ya awali ilikuwa ni Group stage CL kwakuwa huko ndipo walianzia.

Ungeeleweka kama ungesema hivi 'baada ya kuondolewa CL na kwenda CC,Yanga walijiwekea tena malengo mengine ya group stage CC'.
 
Narudia tena kukumbusha.Nimeanza kwa kukukosoa uliposema tangu awali malengo ya Yanga ilikuwa ni group stage CC,nikakukumbusha kuwa malengo ya Yanga ya awali ilikuwa ni Group stage CL kwakuwa huko ndipo walianzia.

Ungeeleweka kama ungesema hivi 'baada ya kuondolewa CL na kwenda CC,Yanga walijiwekea tena malengo mengine ya group stage CC'.
Hoja yangu inasimama pale pale,hayo ya awali au kabla baki nayo

2023/2024 haipo mbali,sajilini mambo yakusema sijui timu dhaifu kisa kafungwa na Yanga hatutaki kuyasikia tena
 
Hapana usipotoshe Mkuu,malengo ya mwaka huu yalikuwa ni hayo hayo ya group stage CL au umesahau kuwa CC mlikwenda baada ya kufurushwa na Al Hilal huku kwa wakubwa? Hebu tafuta clip za Hersi akiongelea malengo haya kama kuna popote alisema malengo ni group stage CC?
1. Weka hapa orodha za wakubwa ambao hawakuwahi kucheza CAFCCL.

2. Orodhesha viwango kiubora vyawakubwa hao tuone Makolokolo FC na Yanga FC yupi yuko juu ya mwenziye.

3. Eleza sababu kuu 3 kwanini Aden Rage aliona mbali kuwaita ninyi Washabiki maandazi "MBUMBUMBU"

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yangu inasimama pale pale,hayo ya awali au kabla baki nayo

2023/2024 haipo mbali,sajilini mambo yakusema sijui timu dhaifu kisa kafungwa na Yanga hatutaki kuyasikia tena

Karibuni sana kwenye mashindano ya wakubwa zaidi barani Africa CAFCL,safari hii jipapatueni walau mfike hiyo Group stage ili mcheze na kina Raja,Wydad,Mamelod,Al Ahly and the likes muonje radha halisi ya CL mtani.
 
Karibuni sana kwenye mashindano ya wakubwa zaidi barani Africa CAFCL,safari hii jipapatueni walau mfike hiyo Group stage ili mcheze na kina Raja,Wydad,Mamelod,Al Ahly and the likes muonje radha halisi ya CL mtani.
Huna ukubwa wowote
We ni kenge kati ya mamba
 
Rais wa Yanga jana akiwa Wasafi amesema malengo yao next ni kuingia Group stage CAFCL,Nikadhani kwakuwa wamefika fainali CAFCC sasa angeweka malengo ya fainali CL kabisa,kumbe ni group stage tu
mtego huo...hata mwanzo wa msimu huu hizo ndo zilikuwa kauli zake,MAHESABU YA MWISHO WA MSIMU NADHANI MMEYAONA!!
 
Back
Top Bottom