CAF Confederation cup play-off round POTS

Kama kuwafunga jwaneng galaxy timu mbov kuwah kuiona ikiqualify cl group stage ni tabùu...hayo mengine hayawesekan
 
African sports journalist
NUHU ADAMS - Twitter, Facebook
Sawa ngoja tuone kama itakuwa ni hizo criteria. Kama itakuwa ni hivyo basi angalau Simba wana matumaini japokuwa wanapaswa kuchanga vyema karata zao
 
Sawa ngoja tuone kama itakuwa ni hizo criteria. Kama itakuwa ni hivyo basi angalau Simba wana matumaini japokuwa wanapaswa kuchanga vyema karata zao
Uhakika mkuu, lazima wacheze kwa uzoefu mkubwa walionao
 
Pia yule Morrison inabidi aache masihara, asijikute yy ndo anajua sana
Simba wanatakiwa waachane na Morisson wamsajili Okwi au Rainford Kalaba.

Kalaba ana 33 years
Okwi ana 30 years with their experience kwenye midfield kutafanya timu itembee tena sasa hivi timu haitembei.
 
Simba wanatakiwa waachane na Morisson wamsajili Okwi au Rainford Kalaba.

Kalaba ana 33 years
Okwi ana 30 years with their experience kwenye midfield kutafanya timu itembee tena sasa hivi timu haitembei.
Ila inatengeneza nafasi za kufunga nyingi kuliko timu yoyote hapa Tz

Uchambuzi mwingine ni kuchekeshana tu humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Leo timu ikishinda mechi za mtoano mtakuja hapa kusema Simba ni timu kubwa yaani kuwaelewa wabongo ni mtihani mno
 
Ni ngumu kuelewa nilichoandika kwa sababu umejibu kishabiki tu
 
Kweli Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…