CAF Confederation Cup Team Of the Season

CAF Confederation Cup Team Of the Season

Ku add value sio lazima uuzwe mfano Bacca wa sasa ni tofauti na yule wa before CAF same to Job, Mwamnyeto,Diara list goes on, leo hii wana uwezo wa kuivimbia timu yao kuhusu masirahi tumia akili mdogo wangu
Kwa hiyo kumbe siyo kosa wachezaji wenu wawavimbie kuhusu maslahi?

Hivi unajua timu inaweza kuja kumtaka mchezaji ikamuoffer maslahi mazuri kuliko wewe unayompa ila bado ukaweka ngumu kisa hautaki tu kumuachia? Matokeo yake mchezaji wa 250M unasema bila 1B hatoki na kwa kuwa bado ana mkataka kweli hatoki.
 
Mlikuwa mnamsisitizia Feisal arudi kucheza mkadai ataonekana zaidi. Niliwahi kusema ngoja tuone hao waliobaki kama watauzika nikaonekana mbaya. Matokeo yake Feisal hakurudi ila ndiyo ameuzika, hawa waliofika fainali ni kama tutaendelea kuwa nao....sijui shida nini.

Napendaga tu kuwakumbusha kauli zenu maana nyingi huwa mnazisema kwa mihemko.
Kwahiy unataka baada ya fainali mchezaj aanze kuondoka mmoja mmoja alafu yanga tuanze kusajir wachezaji wapya??
 
Kwa hiyo kumbe siyo kosa wachezaji wenu wawavimbie kuhusu maslahi?

Hivi unajua timu inaweza kuja kumtaka mchezaji ikamuoffer maslahi mazuri kuliko wewe unayompa ila bado ukaweka ngumu kisa hautaki tu kumuachia? Matokeo yake mchezaji wa 250M unasema bila 1B hatoki na kwa kuwa bado ana mkataka kweli hatoki.
una maanisha nini kusema wachezaji wetu? mimi sina mchezaji , unacho kisema ndio hicho hicho nlichosema hapo juu mbona una kichwa kigumu
 
Mlikuwa mnamsisitizia Feisal arudi kucheza mkadai ataonekana zaidi. Niliwahi kusema ngoja tuone hao waliobaki kama watauzika nikaonekana mbaya. Matokeo yake Feisal hakurudi ila ndiyo ameuzika, hawa waliofika fainali ni kama tutaendelea kuwa nao....sijui shida nini.

Napendaga tu kuwakumbusha kauli zenu maana nyingi huwa mnazisema kwa mihemko.
Wewe jamaa kuwa wakati huwa unakuwa mjinga sana. Kwenye uzi wa kuwa na wachezaji wakristu ili kuwafunga waarabu nilidhani umepitiwa, kumbe ndio asili yako. Feisal siyo mchezaji mkubwa kihivyo, mbona hata bila kuwepo timu imefanya vizuri kwa kufika final?. Pia kuuza wachezaji tunakosemea siyo kwenda Azam bali club za Afrika. Kutoka Yanga kwenda Azam ni sawa na kuuza gari na kununua baiskeli.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Timu imefika fainali ila inashindwa kuuza mchezaji wake hata mmoja. Haya mashindano haya....nimeshangaa kusikia hata mfungaji bora hapewi chochote, inabaki tu google.
Ondoka kwenye App kwenda kwenye Web
 
Timu imefika fainali ila inashindwa kuuza mchezaji wake hata mmoja. Haya mashindano haya....nimeshangaa kusikia hata mfungaji bora hapewi chochote, inabaki tu google.
Wewe ni taahira tena taahira mwenye vyeti
 
Back
Top Bottom