Caf confederation cup team of week

Caf confederation cup team of week

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Nimeifuma mahala

FB_IMG_16502820409094607.jpg
 
Akifungwa ligi kuu mnatukana. Bure kabisa makolo
Alafu bado mpaka sasa serikali ipo kimya kabisa,wakati wanaona kabisa Simba inavyopambania nchi kisoka na kuongeza watalii nchini"Visit Tanzania"
 
Hawa CAF ni wa mchongo. Inakuwaje Simba iliyoshinda kwa goli moja tu uwanja wa nyumbani iingize wachezaji watano. Hii itakuwa CUF ya Lipumba.

Alisikika Juha mmoja akisema tokea dimbwini.🤣🤣🤣

Ujue kuwa kati ya timu NANE zilizocheza robo fainali ya kwanza, ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi nazo ni Simba na Al Masry!
Timu NNE ziliambulia sare ya kutokufungana na timu MBILI zilifungwa!
Kati ya timu mbili zilizoshinda mechi ya kwanza ya robo fainali ni timu MOJA tu ya SIMBA haikuruhusu mpinzani kupata goli la ugenini. Al Masry alishinda 2:1 hivyo aliruhusu goli la ugenini.
Kwa hiyo kati ya timu zote NANE, kwa mujibu wa mechi za kwanza, SIMBA ndiyo timu Bora na ilistahili kuingiza wachezaji wengi kwenye timu ya wiki ya CAF! Bila shaka nimeeleweka!
 
Kwa maoni yangu binafsi, bila mihemko ya kishabiki(Simba damu) wala kushawishiwa na mtu, naona kati ya Manula na kipa wa Pirates, kipa wa Pirates ALIUDAKA 'MWINGI' kuliko Manula!
 
Kwa maoni yangu binafsi, bila mihemko ya kishabiki(Simba damu) wala kushawishiwa na mtu, naona kati ya Manula na kipa wa Pirates, kipa wa Pirates ALIUDAKA 'MWINGI' kuliko Manula!
Hata mimi nimewaza hivyo hivyo.
Orlando Pyrates wana kipa mzuri sana, alikuwa makini sana kwenye mechi dhidi ya Simba.
 
Ujue kuwa kati ya timu NANE zilizocheza robo fainali ya kwanza, ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi nazo ni Simba na Al Masry!
Timu NNE ziliambulia sare ya kutokufungana na timu MBILI zilifungwa!
Kati ya timu mbili zilizoshinda mechi ya kwanza ya robo fainali ni timu MOJA tu ya SIMBA haikuruhusu mpinzani kupata goli la ugenini. Al Masry alishinda 2:1 hivyo aliruhusu goli la ugenini.
Kwa hiyo kati ya timu zote NANE, kwa mujibu wa mechi za kwanza, SIMBA ndiyo timu Bora na ilistahili kuingiza wachezaji wengi kwenye timu ya wiki ya CAF! Bila shaka nimeeleweka!
Nimekuelewa sana mchambuzi wa soccer
 
Kwa maoni yangu binafsi, bila mihemko ya kishabiki(Simba damu) wala kushawishiwa na mtu, naona kati ya Manula na kipa wa Pirates, kipa wa Pirates ALIUDAKA 'MWINGI' kuliko Manula!
Sasa mwenzake ana cleansheet tayari na huyo unayemtaka wewe kachafua gazeti

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom