OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
HaaYaani Simba ni lidude fulani likuubwaaa.....
Mkuu hebu angalia angalia kama kuna tuzo ya kutetema tukampigie bwana yule....
Mimi pia hali ni hivyoNa vote naambiwa feild shida nini au kwasababu nimetoka kupiga puli?
Hilo goli likishinda najitoa JF kwa mwezi mmoja
SawaHata ukijitoa mazima huna madhara wewe utopolo...
Na mtakufa macho wazi wanga nyie...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goli la mayele lipo kwenye tuzo ya cuf ya lipumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hilo goli likishinda najitoa JF kwa mwezi mmoja
angalia usije ukatiwa weweSema likishinda unakuja nakutia bolimbo