CAF, Ligi Kuu NBC ni ya 4 kwa ubora Barani Africa sawa na Ligi Kuu ya Africa Kusini

Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
 
Sasa si ndiyo overall ranking za huo msimu wa 2022/2023?
Au wewe unaposikia overall ranking huwa unapata picha gani? Kwamba ni bila mwanzo wala ukomo?
Hiyo rank kikawaida hua inajumlisha ya misimu mitano au sita, hicho ndio huwa kipimo sahihi cha ubora wa ligi. Fungua kwenye page zao husika utaliona hilo.
 
hiyo rank kikawaida hua inajumlisha ya misimu mitano au sita, hicho ndio huwa kipimo sahihi cha ubora wa ligi. Fungua kwenye page zao husika utaliona hilo.
Miaka mitano si ni majumuisho? Kuna ubaya kukiwepo na continuum of assessment ambayo inatupa status on annual bases?
Kila mwaka kuna wadau wanataka kufanya kitu/kuwekeza kwenye hizo ligi, hivyo ni muhimu kuwepo na data and status kila baada ya muda fulani mfupi ili zisaidia kwenye kufanya maamuzi.

Hivyo kutoa takwimu za ubora wa Ligi kwa mwaka inatoa nafasi ya wadau kujua ligi gani wanaweza wakafanya kitu.
 

hoja ni kuwa kipimo cha ubora wa ligi hakipimwi kwa msimu mmoja.
 
Kazi ilifanywa na Simba Yanga mlikuwa tuu kuongeza. Mpaka Sasa mna point 20 Simba 35.

Ipongeze Simba.
 
hoja ni kuwa kipimo cha ubora wa ligi hakipimwi kwa msimu mmoja.
We kweli bure kabisa, hata idara zingine za kimataifa hupima ubora wa Watendaji wake kwa kila baada ya miezi 6 au miezi 12 (short time assessment) ambapo hupelekea kutathmini mafanikio baada ya miaka mitano au kumi (long time assessment).

Inamaana ikiwa kampuni X ilifanya vyema kiuwekezaji mwaka huu afu pakavutia wadau wengine kuwekeza kwa mwaka ujao, itawalazimu wasubirie hadi miaka mitatu au mitano?

Je mwaka ujao pakiwa na Washindani zaidi ya kampuni X wakafanya vizuri zaidi itawalazimu waendelee tu kusubiri hiyo miaka mitatu itimie?

Elewa investment ni upside and downside achievement tokana na challenges tofauti tofauti si kila siku tu ni permanent achievement results.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Leta ushahidi na kama ni hivyo Kwa nini kwenye ranking Yanga iwe Juu ya Simba?
Makolokolo sijui yanawazaga kwa kutumia nini miilini mwao, yani anapingana na data halisi kwa waliobobea kiuchambuzi na kutaka kuaminisha kuwa ubora wa Makolokolo wa miaka mitano uliopita basi utaendelea kuwa permanent papo hapo miaka yote ilihali kila kukicha ushindani hutokea wa kiuwekezaji na mafanikio mengi toka klabu tofauti tofauti.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…