CAF: Mechi za kimataifa, Biashara, Azam na Simba mashabiki ruksa

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
TFF imetoa rasmi taarifa iliyotoka shikirisho la mpira Africa (CAF).

Mechi ya Biashara wataruhusiwa mashabiki 5,000.

Mechi ya Azam mashabiki 2,000.

Na Mechi ya Simba mashabiki 15,000.
 
siku zote tunawambia utopolo kuhusu ukubwa wa simba wao wamekalia ubishi tu! Haya mtabaki kusema CAF na TFF wanaipendelea simba, bila kujua kuwa wakati wote mdogo yupo kwa ajili ya kufagia uwanja ili wakubwa wautumie.

Mkitaka kufanana na simba jitahidini mjenge timu yenu iwe shindani kimataifa na sio porojo za kuchukua kombe la ligi kuu mara nying.
 
TFF imetoa rasmi taarifa iliyotoka shikirisho la mpira Africa (CAF).

Mechi ya Biashara wataruhusiwa mashabiki 5,000.

Mechi ya Azam mashabiki 2,000.

Na Mechi ya Simba mashabiki 15,000.
...
 
kwanini Yanga hawafanyi vizuri kimataifa?

Je, kuna haja ya kuibadilisha ligi yetu iwe Club bingwa (local CAFCL) kuifanya Yanga iwe competitive? (🤣🤣😅😅)
Watu wenyewe wa UTO sasa hivi wanakwambia wanakuja na mpango kabambe wakuifanya Uto iwe timu inayojiendesha bila utegemezi yani wamekuja na bakuli la kidigital.

Sema hii timu wenge sana.Juzi wanasema wanaenda kwenye mageuzi ya uendeshaji wa timu,jana Msola anakwambia wanatengeneza mfumo mpya wanachama wachangie ili timu iache utegemezi.
 
umepiga mle mle kabisa mkuu
 
Kwa upande wangu nafikiri haya masuala ya mashabiki kuingia uwanjani CAF wangeliacha shirikisho la nchi husika lideal nayo kulingana na sera za nchi hiyo kwenye mapambano dhidi ya COVID19. Muhimu wasisitize njia za kawaida za kujilinda zifuatwe.

Kulazimisha nchi zote ziwe sawa na Morroco au South Africa sio sawa.

Sioni mantiki ya kutupangia idadi ya mashabiki uwanjani ligi ya mabingwa wkt kwenye ligi ya ndani tunajazana kama siafu.
 
Kaka mi naona bado kuna umuhimu wa kupangiwa imagine mashahiki wakiruhusiwa uwanja mzima na wageni kutoka hayo mataifa mengine wakaja na mashabiki wao tena kwa idadi kubwa, ikitokea baadhi yao wana uviko 19 si itakua balaa nchini kwetu
Kwa upande wangu nafikiri haya masuala ya mashabiki kuingia uwanjani CAF wangeliacha shirikisho la nchi husika lideal nayo kulingana na sera za nchi hiyo kwenye mapambano dhidi ya COVID19...
 
Tatizo wao wanawekeza kwa vigazeti na redio uchwara na wachambuzi uchwara kuipamba timu badala ya kuwekeza katika ubora wa uwanjani.
 
Simba ya msimu huu imefia kwenye number10 so usitegemee ubora ule tena

NB:RIP Hans Pope
 
Kwaiyo Yanga wamepigwa faini kwa kuruhusu mashabiki lakini Simba wamepewa ruksa,hii ndo maana ya Simba kuitwa next level.
 
Mkuu, mwenye mashindano ndio anaweka "vigezo na masharti" vitakavyotumika kwenye mashindano "yake".

Mashindano ya TFF yanaruhusu hicho unachokisema, sio sawa kusema kwamba CAF na FIFA nao wafuate sera za watu wengine.
Haki ya kuamua vile inavyowapendeza katika "mashindano yao" bado wanayo wao na wanaitumia vile inavyowapendeza.
 
Ligi za ndani si mnakua wenyewe na mnalundikana wenyewe ata mkiambukizana mnaambukizana wenyewe.Jambo lolote likishakua la kimataifa lazima kuwe na mwongozo,maana kama sisi bongo tunajijua tulivyo watu wakupuuzia mambo nakuchukukia rahisi.
 
Nyie jazaneni ila wao hawataki wawe sababu ya nyie kudhurika na hii pandemic
 
Hizo ni regional protocols lazima kuwe na chombo kimoja ku hermonize.

Leo mkiachiwa ndo mambo ya kuwaambia wachezaji wote wana covid..

Lazima CAF watie neno. Maana hayo ni mashindano yao.

Uto mpooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…