tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,971
Kwa upande wangu nafikiri haya masuala ya mashabiki kuingia uwanjani CAF wangeliacha shirikisho la nchi husika lideal nayo kulingana na sera za nchi hiyo kwenye mapambano dhidi ya COVID19. Muhimu wasisitize njia za kawaida za kujilinda zifuatwe.
Kulazimisha nchi zote ziwe sawa na Morroco au South Africa sio sawa.
Sioni mantiki ya kutupangia idadi ya mashabiki uwanjani ligi ya mabingwa wkt kwenye ligi ya ndani tunajazana kama siafu.
Upo sahihi sana mkuu
CAF wana hoja za kipuuzi sana, wanakera sana sana
Wanalazimisha utaratibu uliopo Egypt na nchi zingne basi uendelee hata katika mataifa yetu ilhali sisi tulishaachana na mambo ya kuzuia mashabk uwanjani kisa covid