CAF: Mechi za kimataifa, Biashara, Azam na Simba mashabiki ruksa


Upo sahihi sana mkuu

CAF wana hoja za kipuuzi sana, wanakera sana sana
Wanalazimisha utaratibu uliopo Egypt na nchi zingne basi uendelee hata katika mataifa yetu ilhali sisi tulishaachana na mambo ya kuzuia mashabk uwanjani kisa covid
 
Fact...

Nadhani wameamua kubalance suala la mashabiki ili kuzipa ahueni nchi ambazo hawaruhusu mashabiki.
 
Utopolo a.k.a kamati ya mapokezi wanachoweza ni kuwapokea wapinzani wa Simba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…