CAF naomba ichunguze upya vyeti vya kocha wetu huyu

CAF naomba ichunguze upya vyeti vya kocha wetu huyu

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Kwa kweli nimeumia sana niwe mkweli, hawa Rivers nao ni wa kutufunga kweli?
Sawa tulifungwa lakini makosa haya yamechangia
1: kocha alijua wazi na kuona namna mukoko na zawadi hasa hasa zawadi walivyopwaya, na bado hakuchukua hatua yoyote, matokeo yake tukawa tunakimbizwa tu kati na kina ukwe.

2: kumtoa makambo na yacouba ambao walikuwa mwiba sana muda mwingi na kumuingiza nchimbi ambae alikuwa anakosea hata kutuliza mpira. Afadhali yule yusuph.pia huenda makambo alikuwa kwenye hali mbaya kutokana na jeraha la kichwa, sijajua lakini nchimbi hapana aiseeh..

3: kocha hajawafundisha wachezaji wetu kucheza kona mpaka leo? Lile goli halina tofauti na lile la zanaco la kusawazisha kutokana na kona. Wachezaji hawaruki ***** zao hawa malaya..!
Kwanza jamaa wamepigiana kona fupi wawili, na anaenda adeyum pekee, sasa unategemea nini kama sio kufungwa, pia mpira ukarudishwa na kichwa kati bado hawajaruka! Na walikuwa saba kama sio nane..! Poor marking..

4: mpaka sasa hatuelewi timu yetu inacheza kwa mfumo gani.
Mara wabutue mara wapige back pass hao zawadi na mukoko. Tena huyu mukoko tangu mechi na zanaco alinipa mashaka sana. Alikuwa anakosea kosea sana.. Alipoingia bangala kwenye mechi ile (zanaco) alifanya vizuri sana. Sasa why leo hajaingia? Simpangii kocha lakini sisi mashabiki tunaona pia performance za wachezaji wetu pia kama yeye anavyoona..

Hiki kikosi inawezekama ni kizuri lakini tunakosa kocha trust me.!
Tunaweza tukamtoa River lakini huko mbele kutakuwa na aibu kubwa kama kocha akifanya maamuzi kama ya leo. Na jinsi Team ilivyocheza
Ni kibwana na Job walifanya kazi kubwa sana,wengine utumbo na mashudu.

Watu tulitgemea leo Tumalizie starehe zetu kwa team yetu lakini wanatufanyia huu upimbi kmmmk..!

Caf wachunguze vyeti vya huyu kocha wetu sio bure..
 
Mkuu unamlaumu kocha kwa mechi zipi za majaribio ambazo timu ilicheza..? Mlishindwa kujiuliza kwanini timu imeenda Morocco na kukaa siku 3 tuu bila ya kucheza mechi yeyote ikarejea Tz..? Mkaaminishwa kwa propaganda za msukule kwamba mna timu.. GSM anafanya biashara zaidi Yanga kuliko kuwekeza.. Anatumia nguvu nyingi kwenye PR, kuliko uwanjani..

Mkawa busy kuzichambua jezi za Simba pamoja na cv ya kocha wao, badala ya kuangalia maandalizi ya timu yenu..
 
Kama una akili timamu utagundua tatizo sio kocha..labda nikuulize tumeanza lini maandalizi? Ukipata jibu utajua makosa ni ya nani
 
Kama una akili timamu utagundua tatizo sio kocha..labda nikuulize tumeanza lini maandalizi? Ukipata jibu utajua makosa ni ya nani
point yako Haina mashiko
Kwamba kocha hajui kikosi kipi kinamfaa kutokana na kukosa muda mechi za pre season? Ameshindwa kuwajua wachezaji wake?
OK
 
Leo hujakula pumba kama msukule mwenzako unatema shudu tupu

Uto bna leo mnamkataa le profeseri?
 
Kwa kweli nimeumia sana niwe mkweli, hawa Rivers nao ni wa kutufunga kweli?
Sawa tulifungwa lakini makosa haya yamechangia
1: kocha alijua wazi na kuona namna mukoko na zawadi hasa hasa zawadi walivyopwaya, na bado hakuchukua hatua yoyote, matokeo yake tukawa tunakimbizwa tu kati na kina ukwe.

2: kumtoa makambo na yacouba ambao walikuwa mwiba sana muda mwingi na kumuingiza nchimbi ambae alikuwa anakosea hata kutuliza mpira. Afadhali yule yusuph.pia huenda makambo alikuwa kwenye hali mbaya kutokana na jeraha la kichwa, sijajua lakini nchimbi hapana aiseeh..

3: kocha hajawafundisha wachezaji wetu kucheza kona mpaka leo? Lile goli halina tofauti na lile la zanaco la kusawazisha kutokana na kona. Wachezaji hawaruki ***** zao hawa malaya..!
Kwanza jamaa wamepigiana kona fupi wawili, na anaenda adeyum pekee, sasa unategemea nini kama sio kufungwa, pia mpira ukarudishwa na kichwa kati bado hawajaruka! Na walikuwa saba kama sio nane..! Poor marking..

4: mpaka sasa hatuelewi timu yetu inacheza kwa mfumo gani.
Mara wabutue mara wapige back pass hao zawadi na mukoko. Tena huyu mukoko tangu mechi na zanaco alinipa mashaka sana. Alikuwa anakosea kosea sana.. Alipoingia bangala kwenye mechi ile (zanaco) alifanya vizuri sana. Sasa why leo hajaingia? Simpangii kocha lakini sisi mashabiki tunaona pia performance za wachezaji wetu pia kama yeye anavyoona..

Hiki kikosi inawezekama ni kizuri lakini tunakosa kocha trust me.!
Tunaweza tukamtoa River lakini huko mbele kutakuwa na aibu kubwa kama kocha akifanya maamuzi kama ya leo. Na jinsi Team ilivyocheza
Ni kibwana na Job walifanya kazi kubwa sana,wengine utumbo na mashudu.

Watu tulitgemea leo Tumalizie starehe zetu kwa team yetu lakini wanatufanyia huu upimbi kmmmk..!

Caf wachunguze vyeti vya huyu kocha wetu sio bure..
Malalamiko FC
 
Mtapinduliwa huko Nigeria kama mlivyo pinduliwa leo nyumbani kwenu.
Screenshot_20210912-202227_1.jpg
 
Ila wanaigeria wameni kosha sana leo, yani wametulia wakaupiga mwiiingi utadhani wapo kwao Nigeria .. big up Rivers united ..
 
Back
Top Bottom