SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mfa maji haachi kutapatapaHivi CAF wapo humu JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfa maji haachi kutapatapaHivi CAF wapo humu JF?
Mkuu ngoja nikupe ufafanuzi mwepesi, ikitokea yanga akashinda moja kwa bila huko ugenini jumla ya matokeo yote yatakuwa 2-2. Sasa kwanini yanga anaukosa ubingwa ni kila timu inafutiwa magoli aliyopata nyumbani anahesabiwa aliyopata ugenini tu, yanga nyumbani alipata moja linafutwa kwahiyo game ya mkapa inahesabika mbili bila na na game ya algeria inahesabika moja bila bila kwahiyo matokeo yanakuwa 2-1Kwanini?? Toa ufafanuzi...
Kabisa kabisaWewe inwkuingia akilini fainali kuchezwa nyumbani ns ugenini? Yaani ukikaa na kuwaza unaona kabisa ni sawa timu A kuanzia nyumbani ns kumalizia fainali ya pili ugenini?
Kubalini wamagharibi wametuzidi vingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu WA Yanga wamevurugwa Nyie watakua machiziiii Hawa watu ujue