njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Yaani ligi anayocheza Sarpong na Ditram Nchimbi eti ndio ligi hiyo hiyo anayocheza Miqussoine na Chama.13 vs 74
Tuwe fair jameni, hivi ni haki kweli hizi timu 2 kucheza kwenye ligi moja?
Ninaanza kuelewa kwanini timu kama Bayern, PSG, Real, City zinataka kuanzisha ligi yao wenyewe wacheze wao kwa wao tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]13 vs 74
Tuwe fair jameni, hivi ni haki kweli hizi timu 2 kucheza kwenye ligi moja?
Ninaanza kuelewa kwanini timu kama Bayern, PSG, Real, City zinataka kuanzisha ligi yao wenyewe wacheze wao kwa wao tu.
Wanyonge kwakua mnapata sare?Lakini mbona nyie ni wanyonge wetu kila tukutanapo?basi hapo Yanga lazima tuwe wa 12
Wanyonge kwakua mnapata sare?Lakini mbona nyie ni wanyonge wetu kila tukutanapo?basi hapo Yanga lazima tuwe wa 12
Cha ajabu ni kuwa, timu zote alizopangwa nazo Simba SC ni hatari na karibuni zote ziko juu, ila kwenye kundi Mnyama ndio anaongoza!.mambo ni faya fire fireeee mootoooooo..ewaaaahhhhhhhhh kings of East africa wanakamata nafasi ya 13 huku vijana wa waziri mkuu wa awamu YA TANO asiyejulikana kama atarudi madarakani wakiwa nafasi ya 59 na deportivo la utoPolo kama kawaida yao wako nafasi ya 74
View attachment 1738184View attachment 1738185View attachment 1738186
Kama siku ile uliliwa 4Lakini mbona nyie ni wanyonge wetu kila tukutanapo?basi hapo Yanga lazima tuwe wa 12
Kwa kimataifa kati ya Simba na Yanga hakunaga cha kuimba kupokezana maana yanga haijawahi kuingia ata top 40 ya virabu Bora Africa, Ila kwa ligi ya ndani hapo ni kweli kuimba kupokezanaKuimba kupokezana