chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Vip mlioangalia simba yetu anaweza kutoboa hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua super cup? Bingwa wa champion league na bingwa wa confederation,hawa wamegombea nini?
maana yangu ni kuwa wydad anaongoza ligi ya morroco ana 48pts af huyo raja hamkalibii hata kidogo ana point 31 na viporo 3 hivo bora tu deal na mazembeKamanda, hawa ni Raja Casablanca....na wale waliofuzu club bingwa afrika ni Wydad Casablanca
kama unamkumbuka Star wa Morocco, Mustafa Hadji ashawahi kukipiga Raja...
CC;Mussolin5
Hahahaa nimekuelewa kamanda wangumaana yangu ni kuwa wydad anaongoza ligi ya morroco ana 48pts af huyo raja hamkalibii hata kidogo ana point 31 na viporo 3 hivo bora tu deal na mazembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua super cup? Bingwa wa champion league na bingwa wa confederation,
Timu zote ni za Waarabu na mechi inachezwa uarabuni.Kwa nini ikapigiwe nje ya Africa?? Si ingekuja kupigwa hata huku Tanzania??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wameshatolewa kwenye mashindano ya CAF ya msimu huu Simba na Gor bado wapo, Ila una pointAisee nimeangalia marudio hakika lilikuwa Bonge la game wenzetu Africa kaskazini wako mbali hasa hawa Raja Casablanca watu hatari sana wanampira fulani wa burudani wanakimbiza, wana nguvu wanapiga mashuti nahisi sasa timu zetu ukanda wa East Africa wapambane kujipima na hawa wababe wa kaskazini kupata exposure
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kushangaza Hawa Raja Casablanca Kama sikosei hawajafuzu kwenda robo final ya kombe la shirikisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hivi unaipenda Raja Casablanca au Wydad Casablanca maana sikuelewiIngepita ingependeza sana....ni moja ya tim kongwe sana Africa...kwakweli naipenda sana...
Mkuu hivi unaipenda Raja Casablanca au Wydad Casablanca maana sikuelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Ina maana ndani ya hili bara wenye mpira ni waarabu?
Hapo sasa nakuelewa maana kuna uzi ulisema wewe ni waydad casablancaHahaa I'm Wydad kamanda wangu, thought raja nayo naipenda but sio kivile...
Hapo sasa nakuelewa maana kuna uzi ulisema wewe ni waydad casablanca
Sent using Jamii Forums mobile app