CAF Team of the Week: Simba Sc waingiza watano

CAF Team of the Week: Simba Sc waingiza watano

CAF wanatarajia kuiomba timu ya Simba SC ya Tanzania kutembelea makao makuu yao pale Cairo Misri, wakawaeleze haya mafanikio makubwa hivi kwa muda mfupi wametumia akili gani kiyafikia, ili iwe funzo kwa timu nyingine za wapiga kelele Afrika kama utopolo FC inayopatikana Tz mitaa ya twiga na jangwani, utopolo FC wanasisitizwa kutuma wawakilishi wao wakapewe darsa.

Sio kweli, simba imepata mafanikio makubwa kwa muda mfupi.. enyimba alishiriki caf mara yake ya kwanza alitolewa round ya kwanza.. msimu wa pili wake alioshiriki mara yake ya pili akaenda twaa ubingwa kabisa, na alivyorudi kushiriki msimu wa 3 akatwaa ubingwa tena..

Sasa huo muda mfupi wa simba ni upi ?
 
Simba haiwezi kuchukua ubingwa wakiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 40, Ila kwakua viongozi na baadhi ya mashabiki ni ma Mbumbumbu watendelea kuamini Bado kidogo watacheza nusu fainali ya Afrika, awajui umri wa ao wachezaji unazidi kuongezeka.
 
Sio vibaya TFF wakaenda kujifunza kwa Simba namna nzuri ya kuhamisha morali ya Simba kuipeleka kwenye timu ya Taifa. Ukiangalia timu ya taifa ikicheza huioni ile hamasa ya wachezaji kutafuta kiu ya matokeo kama ambavyo Simba wanafanya kwenye mechi zao. Na "case study" iwe ni zile mechi Simba alizowakalisha vigogo wa Afrika Al Haly, As Vita n.k. Hamasa ianzie hapo iwapo Simba kampiga Al haly hapa kwa Mkapa basi na timu ya taifa ya Misri haitoki salama kwa Mkapa. Kwa Mkapa iwe machinjio ya timu zote za nje zinazokuja kucheza hapa nchini na timu yoyote ile ya Tanzania.
wakati unafikiria hayo kuna wengine watakuwa wanafikiria kuunda kamati ya mapokezi kwenda kupokea hao wageni airport na kununua jezi zao,umeshahu waliishangilia tunisia ilipocheza n ataifa stars wakidai kwa nini kuna wachezaji wengi wa simba? wakidai yassin mustapha ni bora kuliko zimbwe jr?
 
Timu ya Simba ifanyie Kazi ya kuongeza kipa 1,mabeki 2,,washambuliaji 2, na kiungo 1.

Mabeki wa pembeni wasajiliwe wazuri wawe wanapanda kama akina Miskoni na Morisoni.

Washambuliaji wawe wakali kwa ajili ya ku score tuu.

Na pia kocha afanyie Kazi utengenezaji wa space wakiwa na mpira badala ya kuchezea mpira nyuma ya wapinzani hata kama Wana mpira.

Mwisho ,Simba iwe na mind set kwamba wao ni timu kubwa kwa hiyo waache mind set ya kutegemea uwanja wa nyumbani tuu,wakiwa ugenini wacheze defensive game but wajitahidi kupata japo goli moja au basi sare ama wasiruhusu kufungwa magoli mengi.

Timu ikifungwa wafunguke kutafuta goli Ili kupunguza mzigo mechi ya nyumbani.
nafikiri tunahitaji kiungo mkabaji mmmoja mwenye uwezo wa kucheza nne na tano,na beki mmoja mwenye uwezo wa kucheza namba mbili na tatu anayetumia miguu yote, na striker mmoja mkali labda na kipa mkali wa kitanzania imetosha hapo
 
Simba haiwezi kuchukua ubingwa wakiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 40, Ila kwakua viongozi na baadhi ya mashabiki ni ma Mbumbumbu watendelea kuamini Bado kidogo watacheza nusu fainali ya Afrika, awajui umri wa ao wachezaji unazidi kuongezeka.
ni jambo jema hata wewe unatoa kasoro hizo na unaongelea suala la ubingwa wa afrika vipi mnaedeleaje huko vyurani?ubingwa wenu wa afrika mnachukua lini? nenda kaulize tanga uambiwe mwamnyeto ana miaka mingapi , ya ukweli siyo hiyo 26 anayodanganya hapo
 
Simba haiwezi kuchukua ubingwa wakiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 40, Ila kwakua viongozi na baadhi ya mashabiki ni ma Mbumbumbu watendelea kuamini Bado kidogo watacheza nusu fainali ya Afrika, awajui umri wa ao wachezaji unazidi kuongezeka.
Walikuwapo vijana hapo Simba, hata hatua ya makundi ilikuwa ni ndoto kuicheza. Lakini hata Yanga wana akina Fei Toto na Sarpong, hawa ni vijana. Wao hata kupata tiketi ya kucheza CAF competition ndani ya nchi ni shida. Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
 
Walikuwapo vijana hapo Simba, hata hatua ya makundi ilikuwa ni ndoto kuicheza. Lakini hata Yanga wana akina Fei Toto na Sarpong, hawa ni vijana. Wao hata kupata tiketi ya kucheza CAF competition ndani ya nchi ni shida. Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
mwambie pia hao vijana wa Yanga hawachukua kombe huu msimu wa 4. Wazee wa Simba wamebeba makombe misimu minne na wamepeleka timu robo mara mbili
 
Simba haiwezi kuchukua ubingwa wakiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 40, Ila kwakua viongozi na baadhi ya mashabiki ni ma Mbumbumbu watendelea kuamini Bado kidogo watacheza nusu fainali ya Afrika, awajui umri wa ao wachezaji unazidi kuongezeka.
Mwaka ujao Utopolo mtashiriki mkiwa na wachezaji wenye wastani wa miaka 19....karma is a bitch!
 
Sio kweli, simba imepata mafanikio makubwa kwa muda mfupi.. enyimba alishiriki caf mara yake ya kwanza alitolewa round ya kwanza.. msimu wa pili wake alioshiriki mara yake ya pili akaenda twaa ubingwa kabisa, na alivyorudi kushiriki msimu wa 3 akatwaa ubingwa tena..

Sasa huo muda mfupi wa simba ni upi ?
Sio kweli nini mtoto, Simba imepata mafanikio sasa Afrika nzima inatambua kwa Mkapa ni machinjioni, ubingwa ni step by step, hao Enyimba hawakukutana na challenge wanayo face Simba ndio maana, enzi hizo timu nyingi zilikuwa njaa kali.
 
Sio kweli nini mtoto, Simba imepata mafanikio sasa Afrika nzima inatambua kwa Mkapa ni machinjioni, ubingwa ni step by step, hao Enyimba hawakukutana na challenge wanayo face Simba ndio maana, enzi hizo timu nyingi zilikuwa njaa kali.

Caf ya sasa hivi rahisi kuliko ya zamani.. zamani kufika group stage tu ilikuwa uwe mwanaume kweli kweli.... maana group stage zilikuwa zinaingia timu 8 tu.. siku hizi group stage zinaingia timu 16..

Enyimba waliwekeza hela nyingii sana kutwaa ubingwa wa caf haraka haraka. Walijenga hadi uwanja wa gharama kuliko hata wa mazembe ama azam... enzi hizo waarabu kina zamalek, al ahly, esperence, es setif, waydad, raja casablanca walikuwa wa moto kweli kweli, huku kwa weusi kuna asec mimosas, mazembe,canon yaunde, asante kotoko etc, hapo jiulize makundi tu unafikaje katika nafasi 8 tu, na hapo hapo ukatwae ubingwa kabisa

Zama hizi hakuna wachezaji wa kiwango kama zamani kwa timu za africa zinazocheza caf maana ulaya wanaenda mapema , mfano aboutrika, zaki, enyeama, toure, etc etc walikuwa wana uwezo mkubwa sana na wanacheza caf na timu zao huku wana viwango vya ulaya tupu

Caf wamefanya mabadiliko mengi kwenye mashindano yao yote. Yamekuwa mepesi ndio maana hata Tanzania tunafuzu kucheza afcon zama hizi.... zamani wewe ulisikia wapi nchi kama Tanzania ama kenya na burundi zinafuzu afcon.

Kwanza hata kwa zama hizi horoya ana mafanikio ya haraka kuliko simba .. na horoya hawajawekeza hela nyingi kama simba .ila horoya anafika mbali kuliko simba karibu kila msimu
 
Tusije rudia kosa la mwaka juzi.
Tunahitaji wachezaji wapya wasiozidi wawili. Beki mmoja kisiki. Sriker mmoja mfungaji.
 
Caf ya sasa hivi rahisi kuliko ya zamani.. zamani kufika group stage tu ilikuwa uwe mwanaume kweli kweli.... maana group stage zilikuwa zinaingia timu 8 tu.. siku hizi group stage zinaingia timu 16..

Enyimba waliwekeza hela nyingii sana kutwaa ubingwa wa caf haraka haraka. Walijenga hadi uwanja wa gharama kuliko hata wa mazembe ama azam... enzi hizo waarabu kina zamalek, al ahly, esperence, es setif, waydad, raja casablanca walikuwa wa moto kweli kweli, huku kwa weusi kuna asec mimosas, mazembe,canon yaunde, asante kotoko etc, hapo jiulize makundi tu unafikaje katika nafasi 8 tu, na hapo hapo ukatwae ubingwa kabisa

Zama hizi hakuna wachezaji wa kiwango kama zamani kwa timu za africa zinazocheza caf maana ulaya wanaenda mapema , mfano aboutrika, zaki, enyeama, toure, etc etc walikuwa wana uwezo mkubwa sana na wanacheza caf na timu zao huku wana viwango vya ulaya tupu

Caf wamefanya mabadiliko mengi kwenye mashindano yao yote. Yamekuwa mepesi ndio maana hata Tanzania tunafuzu kucheza afcon zama hizi.... zamani wewe ulisikia wapi nchi kama Tanzania ama kenya na burundi zinafuzu afcon.

Kwanza hata kwa zama hizi horoya ana mafanikio ya haraka kuliko simba .. na horoya hawajawekeza hela nyingi kama simba .ila horoya anafika mbali kuliko simba karibu kila msimu
"CAF wamefanya mabadiliko mengi ndio maana hata timu za Tanzania zimepata nafasi"

Hiyo quote hapo juu inaonesha huziamini timu za Tanzania, umekariri miaka yote Tanzania ni wa kuburuzwa tu, umefeli.
 
Back
Top Bottom