CAF: The final shall be played in two matches, home and away

CAF: The final shall be played in two matches, home and away

Siyo mbaya kwani anayejua anajua tu na hakuna cha nyumbani wala ugenini, ingawaje kiafrika wa nyumbani ana faida kuliko mgeni!!!!!!!!!!!!!!Ni barua ya mwaka jana, hakuna kulalamika!!!!!!!!!!!!!!!1


“The final shall be played in two matches, home and away. The team which will have scored the highest aggregate number of goals in the two matches will be declared winner.

This decision shall be implemented on the above-mentioned competitions starting from the upcoming season 2022/23.

Source: Caf
Utaratibu wa kipuuzi sana huu!
 
Utaratibu wa hovyo kabisa huo uliona wapi fainal zinakua mbili Nchi ingine zinachezwa dk 90 Nchi nyingine zinaongezwa mpaka dk wakati Afrika viwanja vipo vingi tuu...
 
Utaratibu wa hovyo kabisa huo uliona wapi fainal zinakua mbili Nchi ingine zinachezwa dk 90 Nchi nyingine zinaongezwa mpaka dk wakati Afrika viwanja vipo vingi tuu...
Tatizo sio uchache wa viwanja bali uwezo wa mashabiki kusafiri kwenda kuhudhuria fainali kwenye nchi tofauti.
 
Hakuna ajabu. Linaajabiwa kwa sababu linafanywa na waafrika huku likiajabiwa na waafrika wenyewe.
Kwa mazingira yetu ya kimaskini wacha tu lichezwe home na away. Hatuna utamaduni wa kwenda na kujaa viwanjani, pili hatuna uchumi wa kuwezesha mamia ya watu kusafiri kwenda kutazama fainali kwenye neutral ground.
 
Mi nahisi MOJA YA sbb ni figisu hasa waarabu, kwahio kila timu iwe na advantage ya nyumbani.
 
Figisu za waarabu,,,watachofanya watasema timu za uarabuni zianzie ugenini then wanaenda kufanya fitina uwanja wa nyumbn
 
Kuna kundi la mashabiki wa timu flani wanaogopa kucheza final mechi mbili sababu wanazo wao nisiwasemee bahati mbaya hata hiyo final hawatafika...
 
Hawakuangalia nchi ya Tanzania bali wameangalia bara la Africa kwa ujumla.
Hakuna kitu kama hicho wale walikurupuka baada ya Al Ahly kulalamika kuwa mashindano yalipangwa yafanyike uwanja wa Wydady kabla na baadae Wydady akafika fainal na kucheza na Al Ahly ikaonekana hiyo mechi imewabeba Wydady wakicheza nyumbani ndio maana Rais wa CAF akarudisha iwe kama zamani mechi mbili ugenini na nyumbani sema alisahau kuwa hata UEFA pia huwa inatokea Timu inayoshiriki ligi kufika fainal na kucheza kwenye uwanja uliopangwa kabla tumeona Man u vs Barcelona, Real Madrid hata Bayern wakicheza na Chelsea Ujerumani...
 
Back
Top Bottom