changamoto zilikua nn?Ndio utaratibu wa tokea zamani huo, semu tu msimu iliyopita ndio wakajaribu kuweka mechi moja tu, wameona changamoto zake wakarusisha mfumo wao ule ule wa zamani wa home and away kwenye fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
changamoto zilikua nn?Ndio utaratibu wa tokea zamani huo, semu tu msimu iliyopita ndio wakajaribu kuweka mechi moja tu, wameona changamoto zake wakarusisha mfumo wao ule ule wa zamani wa home and away kwenye fainali
Utaratibu wa kipuuzi sana huu!Siyo mbaya kwani anayejua anajua tu na hakuna cha nyumbani wala ugenini, ingawaje kiafrika wa nyumbani ana faida kuliko mgeni!!!!!!!!!!!!!!Ni barua ya mwaka jana, hakuna kulalamika!!!!!!!!!!!!!!!1
“The final shall be played in two matches, home and away. The team which will have scored the highest aggregate number of goals in the two matches will be declared winner.
This decision shall be implemented on the above-mentioned competitions starting from the upcoming season 2022/23.
Source: Caf
Safi sa
Changamoto ni idadi ya mashabiki wanaodhuriachangamoto zilikua nn?
Tutaangalia kwa TVHii kimapato Kwa Africa imekaa poa Sana, imagine yanga na Alger's wakachezee fainal Namibia bila Shaka uwanja utakuwa mtupu, mashabiki wa kiafrika ni nadra kuifata timu ikiwa ugenini
Tatizo sio uchache wa viwanja bali uwezo wa mashabiki kusafiri kwenda kuhudhuria fainali kwenye nchi tofauti.Utaratibu wa hovyo kabisa huo uliona wapi fainal zinakua mbili Nchi ingine zinachezwa dk 90 Nchi nyingine zinaongezwa mpaka dk wakati Afrika viwanja vipo vingi tuu...
Kuna ubaya gani wakiwaza kuhusu mapato. Wewe unadhani mashindano hayo yanaendeshwa kwa kutumia fedha za mfukoni mwako?CAF wanachowaza ni mapato ya viingilio hawana zaidi ya hapo
Niliona sehemu kama vile ratiba ishatoka na Yanga wataanzia ugeniniFigisu za waarabu,,,watachofanya watasema timu za uarabuni zianzie ugenini then wanaenda kufanya fitina uwanja wa nyumbn
Huo uwezo umepima Tanzania au sijakuelewa Mkuu...Tatizo sio uchache wa viwanja bali uwezo wa mashabiki kusafiri kwenda kuhudhuria fainali kwenye nchi tofauti.
Hawakuangalia nchi ya Tanzania bali wameangalia bara la Africa kwa ujumla.Huo uwezo umepima Tanzania au sijakuelewa Mkuu...
Hakuna kitu kama hicho wale walikurupuka baada ya Al Ahly kulalamika kuwa mashindano yalipangwa yafanyike uwanja wa Wydady kabla na baadae Wydady akafika fainal na kucheza na Al Ahly ikaonekana hiyo mechi imewabeba Wydady wakicheza nyumbani ndio maana Rais wa CAF akarudisha iwe kama zamani mechi mbili ugenini na nyumbani sema alisahau kuwa hata UEFA pia huwa inatokea Timu inayoshiriki ligi kufika fainal na kucheza kwenye uwanja uliopangwa kabla tumeona Man u vs Barcelona, Real Madrid hata Bayern wakicheza na Chelsea Ujerumani...Hawakuangalia nchi ya Tanzania bali wameangalia bara la Africa kwa ujumla.