Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Simba ndo hua balaa zaidiWakiipost yanga ndo wanapata engagement kubwa
HujishangaiIla yanga mnaonaje lakini ukiwa unafanya vizuri kimataifa? Kama simba sports
Jielezee , kama unaona kupqmbana na kina wydad ni kazi rahisi mbona upo shirikisho uko na wakati ulianza klabu bingwa😂😂Hujishangai
Mbona hampo kokote..... Hadi sasaJielezee , kama unaona kupqmbana na kina wydad ni kazi rahisi mbona upo shirikisho uko na wakati ulianza klabu bingwa😂😂
Na unajiita naby keita , yani uanze uefa uje utupwe europa unamchekaje alobaki uefaHujishangai
Halafu unabeba sasaNa unajiita naby keita , yani uanze uefa uje utupwe europa unamchekaje alobaki uefa
Mipango we, ulieachwa uendelee uko wapiJielezee , kama unaona kupqmbana na kina wydad ni kazi rahisi mbona upo shirikisho uko na wakati ulianza klabu bingwa😂😂
ATa sevilla hua anajiposition kwenye europa kwa sababu ndo anapamudu. Na kashabeba ndoo kadhaa ila huwezi ona anabwekea wa champions league😁😁Mipango we, ulieachwa uendelee uko wapi
Labda ubebe mvua 🤣🤣🤣🤣Halafu unabeba sasa
Ndo tumeibeba kidijitaliLabda ubebe mvua 🤣🤣🤣🤣