CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga SC wa klabu bingwa barani Afrika

CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga SC wa klabu bingwa barani Afrika

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga SC wa klabu bingwa barani Afrika.

"Moja kati ya vigezo vya uwanja sio tu sehemu ya kuchezea au ubora ila ni pamoja na umbali wa viti kutoka kimoja hadi kingine, kwa uwanja wa Amaan umekosa ivyo vigezo uwanja kama wa Azam Complex unakidhi vigezo kutokana na umbali wa viti ambao kwa vigezo vya CAF wanataka kuanzia sentimita 45. Azam walilazimika kupunguza idadi ya namba ya mashabiki kutoka elfu 6 hadi elfu 4 ili kukidhi vigezo vya CAF.

Kujipendekeza na Kusaka nafasi za Kisiasa kumeisha kwa Aibu, Mzee Magoma alishasema jamaa anapita utopoloni ili akagombee ubunge.

Unakurupuka tu na kusema tutatumia uwanja fulani bila kufanya tafiti.

20240808_160224.jpg
 
Ule uwanja umetengenezwa ili utumike kwenye michezo ya AFCON iliyo chini ya CAF. kwa maelezo yako uwanja huu hautatumika AFCON ijayo??
Viongozi wa sekta mbalimbali wapo kwa ajili ya kumfalisha Mama na si kufata vigezo na mashariti hivyo wanafanya vitu kwa kukurupuka

Uenda ikawa hivyo kama sheria ndo zinavyosema basi hautotumika mpaka urekebishwe
 
CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga sc wa klabu bingwa barani Afrika

"Moja kati ya vigezo vya uwanja sio tu sehemu ya kuchezea au ubora ila ni pamoja na umbali wa viti kutoka kimoja hadi kingine, kwa uwanja wa Amaan umekosa ivyo vigezo......uwanja kama wa Azam Complex unakidhi vigezo kutokana na umbali wa viti ambao kwa vigezo vya CAF wanataka kuanzia sentimita 45.........Azam walilazimika kupunguza idadi ya namba ya mashabiki kutoka elfu 6 hadi elfu 4 ili kukidhi vigezo vya CAF....

Kujipendekeza na Kusaka nafasi za Kisiasa kumeisha kwa Aibu, Mzee Magoma alishasema jamaa anapita utopoloni ili akagombee ubunge

Unakurupuka tu na kusema tutatumia uwanja fulani bila kufanya tafiti View attachment 3081253
Acha fix buloo.
 
CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga sc wa klabu bingwa barani Afrika

"Moja kati ya vigezo vya uwanja sio tu sehemu ya kuchezea au ubora ila ni pamoja na umbali wa viti kutoka kimoja hadi kingine, kwa uwanja wa Amaan umekosa ivyo vigezo......uwanja kama wa Azam Complex unakidhi vigezo kutokana na umbali wa viti ambao kwa vigezo vya CAF wanataka kuanzia sentimita 45.........Azam walilazimika kupunguza idadi ya namba ya mashabiki kutoka elfu 6 hadi elfu 4 ili kukidhi vigezo vya CAF....

Kujipendekeza na Kusaka nafasi za Kisiasa kumeisha kwa Aibu, Mzee Magoma alishasema jamaa anapita utopoloni ili akagombee ubunge

Unakurupuka tu na kusema tutatumia uwanja fulani bila kufanya tafiti View attachment 3081253
Imekuwaje CAF wakauruhusu uwanja huohuo kwa ajili ya michuano ya AFCON?
 
Back
Top Bottom