Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Uamuzi huo umefikiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika ( CAF) baada ya kujiridhisha kuwa timu zote mbili hazikuhusika kukwamisha mchezo uliopangwa kufanyika Februari 14 nchini Angola.
Kamati ya CAF imeagiza kuwa mechi zote mbili ziwe zimechezwa kufikia Februari 26, 2021.
Timu ya Agosto kutoka Angola ikiwa mwenyeji wa mechi ya kwanza itawajibika kulipia gharama za maandalizi ikiwemo maofisa wa mechi hiyo.
TFF
Kamati ya CAF imeagiza kuwa mechi zote mbili ziwe zimechezwa kufikia Februari 26, 2021.
Timu ya Agosto kutoka Angola ikiwa mwenyeji wa mechi ya kwanza itawajibika kulipia gharama za maandalizi ikiwemo maofisa wa mechi hiyo.
TFF