Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Yes. Kwasababu hata wakisema mechi ipigwe Uganda kwa vile wote hawana makosa, hapo Namungo anakuwa hatendewi haki kutokana na gharama za safari, kwamaana anatalazimika kusafiri mara mbili wakati Agosto mara moja.Hapo nimeelewa
Ndo wakaamua game ipigwe huko TANZANIA ili Agosto awe amesafiri kufika Tz kama ambavyo Namungo alivyofika Angola