Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Sasa Namungo washindwe wenyewe kimbinu na kisaikolojia! (home advantage).Uamuzi huo umefikiwa na Shirikisho la Soka Afrika ( CAF) baada ya kujiridhisha kuwa timu zote mbili hazikuhusika kukwamisha mchezo wa awali
Mechi zote mbili ziwe zimechezwa kabla ya Februari 26, 2021 huku Agosto ikiwa mwenyeji wa mechi ya kwanza.
CAF Wamesema uchunguzi wao wamebaini kuwa si Agosto wala Namungo waliohusika moja kwa moja kukwamisha kutopigwa mechi ya February 14 nchini AngolaCAF sijui wametumia vigezo gani Japo ni habari njema
Hiyo imepelekeaje mechi kuchezwa bongoCAF Wamesema uchunguzi wao wamebaini kuwa si Agosto wala Namungo waliohusika moja kwa moja kukwamisha kutopigwa mechi ya February 14 nchini Angola
Huoni kuwa Namungo alishafika Angola, sasa iweje asafiri tena yeye hachoki?Hiyo imepelekeaje mechi kuchezwa bongo
Nyuma ya pazia agosto alihusika tu sasa CAF hawawezi kuwafungia na kuharibu ratiba nzima kilivhofanyika ni kuwaadhibu waangola kisayansi. Kama huanini hili halitajitokeza tena kwa wana angola kufanya walicho kifanyaCAF Wamesema uchunguzi wao wamebaini kuwa si Agosto wala Namungo waliohusika moja kwa moja kukwamisha kutopigwa mechi ya February 14 nchini Angola
Hapo nimeelewaHuoni kuwa Namungo alishafika Angola, sasa iweje asafiri tena yeye hachoki?