Hivi macho yako yanaona vizuri? Amefukua kitu hivyo ni lazima arudishie ardhi kwa kushindilia na mguu.Sasa si unaona hapo jamaa kuna kitu anakifukia na mguu hapo
Halafu nimekuuliza swali mchezaji wa Prisons kafanyaje hapo?Sasa si unaona hapo jamaa kuna kitu anakifukia na mguu hapo
Aibu kubwa SanaMO inakuwaje anakubali huo upuuzi?
Mo mwenyewe Ntu ya Ndumba...MO inakuwaje anakubali huo upuuzi?
Angalia ile video tangu mwanzo usilete ubishi..prison ndio walianza kufukia walipoondoka djuma akaenda fukuaAcha uongo mkuu. Djuma alikuwa anafukia mzoga wa mjusi.. Msiwapakazie Tz prison kwa jambo mlilolifanya wenyewe. Na kama alifukua , hatima ya hiyo mechi ilikuwaje?
akili yako kama avatar yakoAcha uongo mkuu. Djuma alikuwa anafukia mzoga wa mjusi.. Msiwapakazie Tz prison kwa jambo mlilolifanya wenyewe. Na kama alifukua , hatima ya hiyo mechi ilikuwaje?
😀😀😀Mbona yule jamaa anaeita watu popoma hapa hachangii
Djuma hakuwa anafukia, Bali alikuwa anatoa kilichowekwa. Kwan hukubahatika kuona Ile clip in full?Sijui walifaidika na nini pamoja na kumtima Djuma kufukia ile nanii pale kwa mkapa
Angalia vizuri hii clipAlifukia na camera zote zilimuonesha akifukua fukua afu akatumbukiza kitu kwenye shimo kisha akafukia
si ndivyo alivyo agizwa na mganga wenu
Hili mmecoment, mada yenyewe mmeikimbia.Alifukia na camera zote zilimuonesha akifukua fukua afu akatumbukiza kitu kwenye shimo kisha akafukia
si ndivyo alivyo agizwa na mganga wenu
Alikuwa ana vaa soksi vizuriHalafu nimekuuliza swali mchezaji wa Prisons kafanyaje hapo?
Hii ndio imemuonesha vizuri djuma akiwa anaisindilia kabisa baada ya kuifukiaAngalia vizuri hii clipView attachment 2227674