joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Yupo wapi wakati mpaka CAF wamewaona.Halafu umewapa gharama wenzenu majani ya pale uwanjani wanayatunza kwa gharama kubwa, yaani kwa ule moshi mlio iwasha pale, gharama ya kurekebisha ya majani ni mishahara ya miezi mitatu ya wachezaji na viongozi wote wa Simba.Na yule boya wenu aliyefukia kitu katikati uwanja wa taifa tumuiteje
Mmelitia aibu na CAF wangewaachia mwakani mgeenda na tunguli pamoja na nyanga.