CAF yakataa ombi la MC Alger Kuhamisha mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Yanga kwenda Douéra

CAF yakataa ombi la MC Alger Kuhamisha mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Yanga kwenda Douéra

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limetupilia mbali ombi la klabu ya MC Alger la kuhamisha mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Yanga SC kutoka uwanja wa 5 July 1962 na kuihamishia Douéra.
IMG_1204.jpeg

Mechi hiyo sasa itachezwa kama ilivyopangwa kwenye uwanja wa 5 July 1962.

Soma, Pia: Aucho, Mzize na Boka warejea kikosini kwa mchezo wa pili dhidi ya MC Alger Ligi ya Mabingwa Afrika
IMG_1205.jpeg

Mwamuzi kutoka Ghana, Daniel Laryea, atakuwa msimamizi wa mchezo huu.
IMG_1208.jpeg
 
Back
Top Bottom