π π π Sijanuna Mtani hapa nimebakia kumcheka Ghazwat tu.Natumaini Shadeeya hajanuna
Ila mikia bana sasa mwenzio kaweza kukufunga kwako nne kuna ajabu gani wewe kwenda kufunga 5. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kuwa ligi imesimama tujifurahisheni na hata haya tu mana hatuna jinsi. [emoji41]
Naona umeamua kuja na Id mpya. LOL.
Walozi fc wanajijua mkuu
Mkuu Ghazwat umenikumbusha mbaali sana. Simba walishinda mechi ile mbele ya Rais Keneth Kaunda wa Zambia. Lilipo fungwa goli la nne Rais Kaunda akinyanyuka na kusindikizwa kwenye gari lake na kuondoka uwanjani. Alipokua anatoka getini akapewa taarifa kuwa wamepigwa bao la tanoHili ndo lilikuwa jeshi lenyewe la kutuliza ghasia lililothibitishwa na shirikisho la soka Afrika (CAF)...!
Kulitaka Mwana Kulipewa MwanaView attachment 1416334
Simba taifa kubwaaa!!Hii rekodi ni ngumu kuvunjwa, ndo maana hadi leo Caf wanakumbuka kuona ilikuwa Comeback ya hatari..This Is Simba SC
Mkuu Ghazwat umenikumbusha mbaali sana. Simba walishinda mechi ile mbele ya Rais Keneth Kaunda wa Zambia. Lilipo fungwa goli la nne Rais Kaunda akinyanyuka na kusindikizwa kwenye gari lake na kuondoka uwanjani. Alipokua anatoka getini akapewa taarifa kuwa wamepigwa bao la tano
Magoli yote matano yalifungwa na wachezaji wawili. George Kulagwa(marehemu) aliyefunga magoli mawili na Thuweny Ally(anaishi falme za kiarabu sasa hivi) aliyefunga magoli matatu
Baada ya mechi ile kwenye raundi ya pili Simba SC ikapangiwa kucheza na Union Sportive Douala ya Cameroon ambao ndio walikua mabingwa watetezi wa Klabu Bingwa Barani Afrika.
Ilikua ni miaka ya kusisimua saana. Wakati huo Yanga walikua wanachehemea tu katika nafasi
ya tatu kwenye ligi ya Bongo, maana waliokua wakishika nafasi ya pili na kupata fursa ya kushiriki Kombe la washindi barani Afrika(Cup Winners Cup) walikua ni Pan Africa ya pale Mtaa wa Swahili Kariakoo
Sasa hiyo ni comeback na wewe au ukili umeziacha kwenye matope ya jangwani utopoloniClub Africain iliyofungwa goli 10+ na Mazembe ambayo ni rival kwa sasa wa timu bora Africa na bingwa mtetezi Esperance utawazungumzaje?
Nadhani hauko sawa please take your medication.Sasa hiyo ni comeback na wewe au ukili umeziacha kwenye matope ya jangwani utopoloni
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini inawezekana.Tumeruhusu magori mengi sana kurudisha inahitaji mbinu kubwa.