Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Africa(CAF) imewapa Marefa 11 adhabu tofauti kutokana na Makosa mbalimbali waliyoyafanya
Refa Msaidizi kutoka Kenya, Marwa Range amefungiwa maisha kujihusisha na shughuli zozote za soka zinazohusiana na Shirikisho hilo
Aidha, Refa msaidizi, Jallow Ebrima(Gambia) na Refa Yanissou Bebou (Togo) wamefungiwa kwa miaka 10 kujihusisha na shughuli zozote za soka zinazohusiana na Shirikisho hilo
Katika adhabu hizo pia, marefa wengine 8 wepewa adhabu ya kati ya miaka miwili hadi 6 kutokujihusisha na shughuli zozote za soka za Shirikisho hilo
Refa Msaidizi kutoka Kenya, Marwa Range amefungiwa maisha kujihusisha na shughuli zozote za soka zinazohusiana na Shirikisho hilo
Aidha, Refa msaidizi, Jallow Ebrima(Gambia) na Refa Yanissou Bebou (Togo) wamefungiwa kwa miaka 10 kujihusisha na shughuli zozote za soka zinazohusiana na Shirikisho hilo
Katika adhabu hizo pia, marefa wengine 8 wepewa adhabu ya kati ya miaka miwili hadi 6 kutokujihusisha na shughuli zozote za soka za Shirikisho hilo