CAF yamtema refa aliyekataa goli la Aziz Ki

Hizi tabia za kikekike za kujilizaliza zitaisha lini? Na hii inaonesha ni jinsi gani uto ni timu ndogo Afrika .

Timu kubwa haiwezi kukaa eda mwaka mzima kulilia goli lililokataliwa na refa.
Young Africa ipo level za mamelod
 
pia dudu la kupiga mtu kono
 
Imemtema kwasababu gani?

Au bado mnaweweseka na lile goli.
 

Source ni kitenge [emoji1787]
 
Yupo kwenye maandalizi ya Olympic ndio maana imefanyika switching

Kitenge ni mwendawazimu.hafai kuwa mwandishi wa habari

He is always misleading kwa makusudi
Tanzania hamna waandishi mna waropokaji...
 
Ko Utopolo wataenda Semi final? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mamelod wanacheza nusu fainali leo. Kwa nini CAF hawajatoa uamuzi wa rufaa/malalamiko ya Yanga?
 
Sasa na hao fifa waliomuita itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…