CAF yamteua Chama kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mchezaji bora wa wiki

CAF yamteua Chama kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mchezaji bora wa wiki

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limemteua Kiungo wa Simba SC Clatous Chama kuwa miongoni wa wachezaji wanne ambao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kuwa mchezaji bora wa wiki kwa round ya 4 kwenye michuano ya Kimataifa ya Klabu Bingwa Afrika

1. Ahmed zizo/ Zamalek

2. Clatous Chama/ Simba SC

3. Peter Shalulile/ Mamelody

4. Walid Sabbar / Raja Casablanca

View attachment 2549561
Yule sijui kalala aziza vipi hawajaona mikimbio yake mechi ya banco
 
Back
Top Bottom