CAF yathibitisha simba kuanza hatua ya awali klabu bingwa

Uthibitisho wa nini ikiwa taarifa imetolewa na official site ..
Au ulienda ukakuta uongo?[emoji23]

Au basi tumekurupuka ni uongo?

Hata hivyo ndio nimeingia online sasa hivi tangu muda ule..
Taarifa rasmi imetoka jioni hii, wee uzi uliweka mchana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mbna unajistukia wee mwenyewe.
 
Hawawezi kuzifikia zile 6 prove me wrong!.

Na hata hao mazembe na zamalek wapo mbali sana juu ya simba ..
Hao ni giants lakini wamekosa nafasi sembuse team ndogo simba?
Nimekuuliza kati ya Zamalek na Tp mazembe nani Giant??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taarifa rasmi imetoka jioni hii, wee uzi uliweka mchana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mbna unajistukia wee mwenyewe.
Ndio ujue wewe upo nyuma wewe tu.

Au basi huu taarifa hii ni uzushi ipuuzieni..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nimekuuliza kati ya Zamalek na Tp mazembe nani Giant??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wote ni giants labda kama hujui unataka ujue ndio hivyo ..

Pengine huwajui sawa ndio ujue swali la kipumbavu kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio swala la kunipa taarifa ambayo naijua.

Hizo team 6. Ndio team hasa kwelikweli hao wengine hakuna kitu

Sasa Agosto alitoka hatua gani na alicheza CAFCL simba ni shirikisho

Vidole havilingani usilazimishe [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] primere de agosto msimu uliopita aliishia semi final CAFCL, haya mazembe shirikisho na alifika final. Hakuchukua ubingwa. Kat ya primere na mazembe nan alistahili kucheza 1St round??
 
Hawawezi kuzifikia zile 6 prove me wrong!.

Na hata hao mazembe na zamalek wapo mbali sana juu ya simba ..
Hao ni giants lakini wamekosa nafasi sembuse team ndogo simba?
TP MAZEMBE HAWEZI ANZIA HATUA ZA AWALI HATA SIKU MOJA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] primere de agosto msimu uliopita aliishia semi final CAFCL, haya mazembe shirikisho na alifika final. Hakuchukua ubingwa. Kat ya primere na mazembe nan alistahili kucheza 1St round??
Mungu wangu kweli huyu ni kilaza

Nilikuwa nakuona unajua kumbe nilikosea njia daah..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] primere de agosto msimu uliopita aliishia semi final CAFCL, haya mazembe shirikisho na alifika final. Hakuchukua ubingwa. Kat ya primere na mazembe nan alistahili kucheza 1St round??
NI PETRO LUANDA.
 
Ndio ujue wewe upo nyuma wewe tu.

Au basi huu taarifa hii ni uzushi ipuuzieni..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee, unadhan kandanda unafuatilia pekee yako, huu uzi uliuleta kwa kusikia tyuuh wala hukua na uhakika, ndo maana ukakimbia ulipoombwa uthibitisho lol.

Sahivi CAF wameweka wazi, ndo unajitutumua uonekane.

Weraaaaaaaaaaah.
 
Hamna shida kama zamalek mwenyew anaanza kwenye preliminary stage je Simba ni nani tusianz hatua ya awali
 
Mungu wangu kweli huyu ni kilaza

Nilikuwa nakuona unajua kumbe nilikosea njia daah..
[emoji23][emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo nilichanganya na petro, nwei hata km Primere ndo wa kuanza preliminary???
 
Yaani unataka tushinde online kama wewe kweli?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hujui ni wewe tu usitulaumu sisi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo nilichanganya na petro, nwei hata km Primere ndo wa kuanza preliminary???
Niliposema hujui nilimaanisha πŸ˜‚πŸ˜‚

Huna sifa ya kuongea na mimi kuhusu soka nalazimisha tu toka mwanzo nakuchora tu ..

Bye πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani unataka tushinde online kama wewe kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama hujui ni wewe tu usitulaumu sisi.
Acha zako wee, CAF hii taaifa wameweka masaa 3 nyuma, nawee uzi wako umekaa hapa mda gan??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliposema hujui nilimaanisha [emoji23][emoji23]

Huna sifa ya kuongea na mimi kuhusu soka nalazimisha tu toka mwanzo nakuchora tu ..

Bye [emoji23][emoji23]
Wee ndo huna unalojua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao wote ni giants labda kama hujui unataka ujue ndio hivyo ..

Pengine huwajui sawa ndio ujue swali la kipumbavu kabisa [emoji23][emoji23]
Sasa km wote ni ma Giants why Mazembe??? Mie nataka vigezo hapa. Ilo nianze kuangalia hizo takwimu utakazonipa.
 
Nimeona shougaaaaa angu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi Zamalek anaanzia preliminary stage, uwiiiiih.
Msipoingia makundi mtafukuzana this time,🀣🀣🀣🀣
 
Msipoingia makundi mtafukuzana this time,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi hapa?? Tuna faida ya kuangukia shirikisho. Hatuwazi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…