CAF yathibitisha simba kuanza hatua ya awali klabu bingwa

CAF yathibitisha simba kuanza hatua ya awali klabu bingwa

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Kupitia tovuti rasmi yao

CAF wamethibitisha kuwa mabingwa watetezi wa kombe la CAFCL Simba sc, wataanza round ya awali sawa na team ndogo yanga.

My take nadhani CAF wamehongwa sio bure.
Mo Dewji akashtaki FIFA, huu ni uonevu.
 
Picha source ya hii utopolo yako
 
Kupitia tovuti rasmi yao
CAF wamethibitisha kuwa mabingwa watetezi wa kombe la CAFCL simba sc, wataanza round ya awali sawa na team ndogo yanga.

My take nadhani CAF wamehongwa sio bure.
Mo dewji akashtaki fifa,huu ni uonevu, .
Onyesha huo uthibitisho!
 
Ndio ukweli anakurupuka nini Ngurunda la BUZA???
Lete utbibitisho hapa, kwani unadhani ukitumia lugha ya kuudhi, nitaudhika?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeeh.

Hasira za kutobolewa jana, unaleta kwangu inahuuu??
Byuti byuti.
 
Back
Top Bottom