Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Hahahahha..mambo ya first to posttarehe mbili au 12 una haraka unakimbizwa
mwisho wa siku anapost ujinga anaadhirika mtu mzima na ndevu zakeHahahahha..mambo ya first to post
Hahahahahaha..dahmwisho wa siku anapost ujinga anaadhirika mtu mzima na ndevu zake
Sasa ndevu zimekujaje au ulitaka use wa kwanza weweemwisho wa siku anapost ujinga anaadhirika mtu mzima na ndevu zake
hakuna ubaya ukiwa wa kwanza lakini unatuliza papara, sasa mwanaume huna ndevu unajiita mwanaume?Sasa ndevu zimekujaje au ulitaka use wa kwanza wewee
Sio kwa Ubaya ila ungesema kuwa Simba Imeingia Robo fainali mfululiza kwa miaka sita ungepungua nini?Tarehe ya drop Iko hapo chini
Mwaka 1969 ilikuwa ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu Moja robo fainali ya klabu bingwa ambapo Yanga Afrika waliiwakilishw nchi.
Mwaka huu 2024 ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu mbili mbazo ni Yanga Tena na watani zao Simba.
Kumbe huwa kuna mashindano humu ya kupost ili uwe wa kwanza?hakuna ubaya ukiwa wa kwanza lakini unatuliza papara, sasa mwanaume huna ndevu unajiita mwanaume?
eeh ya bando mwezi mzimaKumbe huwa kuna mashindano humu ya kupost ili uwe wa kwanza?
Ukiwa wa kwanza kuna zawadi inatolewa ama?
I see!eeh ya bando mwezi mzima
All the best kwetu wanayangaTarehe ya drop Iko hapo chini
Mwaka 1969 ilikuwa ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu Moja robo fainali ya klabu bingwa ambapo Yanga Afrika waliiwakilishw nchi.
Mwaka huu 2024 ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu mbili mbazo ni Yanga Tena na watani zao Simba.
View attachment 2925297
Kuna pahala nimeemam uongo? haya hebu tuhesabu hizo mara sita mfululizo ya kwanza 2019 vs To Mazembe, msimu wa 2020 mkatolewa na UDSongo ya pili 2021 Ile msimu wa korona ambapo Hadi namungo aliingia group stage na Simba ikaongoza kundi ikapingwa chuma nne bila na kaizer chiefs ugenini, msimu uliofuatia 2022 hata makundi klabu bingwa Simba haikuingia ilitolewa na hawa Hawa Jwaneng Galaxy ikabidi icheze play off na Red Arrow ya Zambia uwanja ulijaa maji Morrison akawavusha kwenda makundi confederation cup ya luza wakaingia robo ya luza na kuwasha moto south Africa vs Orlando Pirates. Mwaka uliofuatia 2023 mwaka Jana hiyo waliingia robo vs Wydad na Mwaka huu ndo tunasibiri drop Sasa hiyo mara sita mfululizo Iko wapi? Naona on and off tuSio kwa Ubaya ila ungesema kuwa Simba Imeingia Robo fainali mfululiza kwa miaka sita ungepungua nini?
Au ungesema Tanzania imeingiza Timu mbili Ikiwa ni simba ambayo imekuwa ni mara yao ya 6 au 7 kuingiza timu robo fainali na ingizo jipya ambalo ni Yanga
Ok sasa Yanga Nyinyi mwaka 1998 mmesahau..Kuna pahala nimeemam uongo? haya hebu tuhesabu hizo mara sita mfululizo ya kwanza 2019 vs To Mazembe, msimu wa 2020 mkatolewa na UDSongo ya pili 2021 Ile msimu wa korona ambapo Hadi namungo aliingia group stage na Simba ikaongoza kundi ikapingwa chuma nne bila na kaizer chiefs ugenini, msimu uliofuatia 2022 hata makundi klabu bingwa Simba haikuingia ilitolewa na hawa Hawa Jwaneng Galaxy ikabidi icheze play off na Red Arrow ya Zambia uwanja ulijaa maji Morrison akawavusha kwenda makundi confederation cup ya luza wakaingia robo ya luza na kuwasha moto south Africa vs Orlando Pirates. Mwaka uliofuatia 2023 mwaka Jana hiyo waliingia robo vs Wydad na Mwaka huu ndo tunasibiri drop Sasa hiyo mara sita mfululizo Iko wapi? Naona on and off tu
Wenye akili wawili tu..kwenye hiyo taarifa ya CAF uliyoambatisha imeandikwa wapi kwamba Utopolo walikuwa wa kwanza kuingia robo fainali mwaka 1969?Tarehe ya drop Iko hapo chini
Mwaka 1969 ilikuwa ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu Moja robo fainali ya klabu bingwa ambapo Yanga Afrika waliiwakilishw nchi.
Mwaka huu 2024 ni mara ya kwanza Tanzania kupeleka timu mbili mbazo ni Yanga Tena na watani zao Simba.
View attachment 2925297
Hata ukate viuno vipi ukweli ni kwamba Simba hii ni mara ya 5 na yanga hii ni mara ya 2 baada ya miaka zaidi ya 20.Kuna pahala nimeemam uongo? haya hebu tuhesabu hizo mara sita mfululizo ya kwanza 2019 vs To Mazembe, msimu wa 2020 mkatolewa na UDSongo ya pili 2021 Ile msimu wa korona ambapo Hadi namungo aliingia group stage na Simba ikaongoza kundi ikapingwa chuma nne bila na kaizer chiefs ugenini, msimu uliofuatia 2022 hata makundi klabu bingwa Simba haikuingia ilitolewa na hawa Hawa Jwaneng Galaxy ikabidi icheze play off na Red Arrow ya Zambia uwanja ulijaa maji Morrison akawavusha kwenda makundi confederation cup ya luza wakaingia robo ya luza na kuwasha moto south Africa vs Orlando Pirates. Mwaka uliofuatia 2023 mwaka Jana hiyo waliingia robo vs Wydad na Mwaka huu ndo tunasibiri drop Sasa hiyo mara sita mfululizo Iko wapi? Naona on and off tu
Safi sana leta rekodi mkuuOk sasa Yanga Nyinyi mwaka 1998 mmesahau..
Yanga mwaka 1998 ilikuwa Kundi B..
View attachment 2925337
Mlimaliza stage mkiwa na point 2 huku Mkiwa hakuna Mechi mliyoshinda na Draw mbili tu..
Huku Raja akiwachapa Chuma Sita..
Sasa nakupa mechi zenu zote mlizotia aibu huko..
- 22 August 1998
- 6 September 1998
- 18 September 1998
- 10 October 1998
- 24 October 1998
- 8 November 1998
Mbona mnasahau mapema sana?
Ukizidi kuongea nakanyaga Pua..
Chukua Hii upoze Koo
View attachment 2925427
Chukua na hii Pia
View attachment 2925428
Hawa jamaa bila kuwapa Record huwa wabishi sanaSafi sana leta rekodi mkuu