CAF yathibitisha tarehe ya draw ya hatua ya mtoano ni Jumanne March, 12 mwaka 2024

CAF yathibitisha tarehe ya draw ya hatua ya mtoano ni Jumanne March, 12 mwaka 2024

Sio kwa Ubaya ila ungesema kuwa Simba Imeingia Robo fainali mfululiza kwa miaka sita ungepungua nini?

Au ungesema Tanzania imeingiza Timu mbili Ikiwa ni simba ambayo imekuwa ni mara yao ya 6 au 7 kuingiza timu robo fainali na ingizo jipya ambalo ni Yanga
Wewe nae ni Dr wa kupiga punyeto au? Hebu tuorodheshe hizo Mara 6 au 7 za Simba kutinga robo fainal!!. Mkiambiwa nyie ni mbumbu mnachukia?
 
Wewe nae ni Dr wa kupiga punyeto au? Hebu tuorodheshe hizo Mara 6 au 7 za Simba kutinga robo fainal!!. Mkiambiwa nyie ni mbumbu mnachukia?
Mkuu Yote hayo tunafanya na kutibu lia mioyo kama yako iliyopondeka na wivu na hasira..
Ngoja kidogo nizidi kuuponda moyo wako vizuri...

HII Ni REPORT YA SIMBA KIMATAIFA
Sasa nakupa kazi ya kuhesabu Robo fainali na Group stages..
Screenshot_20240305_202424_Chrome.jpg

Screenshot_20240305_202429_Chrome.jpg

Screenshot_20240305_202434_Chrome.jpg



Sasa na hii ni Yenu Nyie utopolo
Screenshot_20240305_201625_Chrome.jpg
Screenshot_20240305_201640_Chrome.jpg


Niambie kama bado unahema nikutandike Kwenye shingo
 
Huna akili unajua maana ya kufanya Jambo kwa mfululizo?, Hebu weka hiyo miala ambayo Simba kacheza robo fainal Mara 6/7 mfululizo? . Unakuja na takwimu zinazopingana na kauli yako... Afu unajiita Dr.
Mkuu Yote hayo tunafanya na kutibu lia mioyo kama yako iliyopondeka na wivu na hasira..
Ngoja kidogo nizidi kuuponda moyo wako vizuri...

HII Ni REPORT YA SIMBA KIMATAIFA
Sasa nakupa kazi ya kuhesabu Robo fainali na Group stages..
View attachment 2925543
View attachment 2925544
View attachment 2925545


Sasa na hii ni Yenu Nyie utopolo
View attachment 2925547View attachment 2925548


Niambie kama bado unahema nikutandike Kwenye shingo
 
Huna akili unajua maana ya kufanya Jambo kwa mfululizo?, Hebu weka hiyo miala ambayo Simba kacheza robo fainal Mara 6/7 mfululizo? . Unakuja na takwimu zinazopingana na kauli yako... Afu unajiita Dr.
Sasa hebu hesabu hapo ziko ngapi mbona kama unahitaji Matunzo ya Akili?
Utotoni ulipatwa na Tatizo la akili?
Unashindwa kusoma hapo quater ziko 6?
 
Sasa hebu hesabu hapo ziko ngapi mbona kama unahitaji Matunzo ya Akili?
Utotoni ulipatwa na Tatizo la akili?
Unashindwa kusoma hapo quater ziko 6?
Huna akili timamu wewe? Kwahiyo 2018-2024 Simba kacheza robo fainal? M. Fvuck
 
Sasa hebu hesabu hapo ziko ngapi mbona kama unahitaji Matunzo ya Akili?
Utotoni ulipatwa na Tatizo la akili?
Unashindwa kusoma hapo quater ziko 6?
dokta achana na zuzu hilo asije kuzimia apa maana ni slower leaner umeliandika 2018 haelewi litaka labada uwe unaandika ivi 2018/2019 ndio lingekuelewa
 
Sio kwa Ubaya ila ungesema kuwa Simba Imeingia Robo fainali mfululiza kwa miaka sita ungepungua nini?

Au ungesema Tanzania imeingiza Timu mbili Ikiwa ni simba ambayo imekuwa ni mara yao ya 6 au 7 kuingiza timu robo fainali na ingizo jipya ambalo ni Yanga
“Mara hii Tanzania imeingiza timu mbili robo fainali baada ya Yanga kubahatika kuingia robo fainali kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe hivyo kuungana na simba ambayo imekuwa ikifika hatua hii mara kwa mara
 
Back
Top Bottom