Mtumpole
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,278
- 1,288
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe link ya CAF sasa
Kwani Mikia si aliondoshwa raundi ya kwanza na Ud Songo,huo ubora kautoa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Daaa asee nimechanganya mamboRound ya kwanza? Mbona unawapandishsha mkuu, walitolewa preliminary round ( round za awali)
Unadhani nimekataa basi.
Halafu hii imekuwa ngumu kwao sijui kwa nini sa? 🤔🤔🤔Tupe link ya CAF sasa
😅😅😅 Ndio unaongea na simu ama? 🏃♂️🏃♂️🏃♂️basi. simba imepiga hatua kubwa mno
√π⁴=℅¶[mbise]½.
Miezi yoote iko humuUnadhani nimekataa basi.
Leta link ni go huko CAF nikaone. [emoji28]
Hapa umewafanya wende PM kuulizana "Tufanyeje?"Unadhani nimekataa basi.
Leta link ni go huko CAF nikaone. [emoji28]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23]Halafu hii imekuwa ngumu kwao sijui kwa nini sa? [emoji848][emoji848][emoji848]
#LETENILINK
😅😅😅Hapa umewafanya wende PM kuulizana "Tufanyeje?"
nmejaribu kufuatilia hii habari naona ni uzushi, sijui mwenzetu ametumia source ipi😅😅😅 Ndio unaongea na simu ama? 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Mkuu mbona takwimu zinakinzana?
Nimeacha ndugu[emoji2]