Chapa makofi hawa, hahaEe nipo sambamba na mada...watu wanafurahia mabilioni ambayo wanufaika ni wachache...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapa makofi hawa, hahaEe nipo sambamba na mada...watu wanafurahia mabilioni ambayo wanufaika ni wachache...
Labda awe bingwa misimu 6Mshindi anavuta billion 10
Mshindi wa pili bill zaidi ya 5
Hii inatamanisha yanga wakaze huenda hela ya ujenzi wa uwanja ikapatikana huko caf
Jiesiem timu ipo mabegani kwake, Tushangilie boli tu Utopolo mwenzangu 😃😃😃Wananchi hizi hela ni zetu tukazichukue.
Hela zetu hizi mkuuJiesiem timu ipo mabegani kwake, Tushangilie boli tu Utopolo mwenzangu 😃😃😃
Unasema?Yanga hafiki makundi
Hii timu ya wazee haifiki makundi CLUB BINGWAUnasema?
Yanga hafiki makundi
Yanga yenye wachezaji yenye matege na kupenda kuchi wa wadada weupe eti wachukue hizo pesa labda wachezee viuno
Ndio maisha ya ushabiki yalivyo dunia nzima hata pale Madrid Wala hakuna siku Perez kagawa hela kwa mashabiki ila walilipa hela watu 80 elfu kuangalia utambulisho wa Mbape tena ilikuwa siku ya kaziMashabiki wa mpira mitihani sana.
Hizo ni pesa za wajanja, mashabiki haziwahusu hata nukta.
Zile za mwaka Juzi mmeziona?
Za mwaka jana mlionyeshwa?
Bado mmeziwa jezi kwa bei juu.
Hata Youn African ikawa no. 1 bado pesa ni zao wenyewe wajanja. Wajinga mtajazwa uwanjani baaasi
mkuu wekeza na upate faidi nafasi ipo, timu zipo nyingiHakuna kinachokera kwenye hizi timu zetu wawekezaji kujifanya wanapata hasara
Idiotmkuu wekeza na upate faidi nafasi ipo, timu zipo nyingi