CAFCL: Yanga kuanzia ugenini Rwanda kwenye mzunguko wa pili

CAFCL: Yanga kuanzia ugenini Rwanda kwenye mzunguko wa pili

sheby dunia

Member
Joined
Jul 12, 2018
Posts
78
Reaction score
83
Al Merrekh ya Sudan baada ya kutinga hatua inayofata wameamua kutumia uwanja wa Rwanda kama nyumbani kwahivyo watakutana na Yanga tarehe 15/9/23.

Yanga kama atatulia anaweza fuzu kwa maana ana faida mbili.
  1. Anaanzia ugenini.
  2. Anaanza uwanja ambao sio wa Merrekh, kwahiyo Merrekh atakosa advantage ya kuwa Sudan.
Toa maoni yako.
 
Kikubwa maandalizi kuanzia ugenini pekeyake si fursa. Tumeona Simba alishawahi tolewa na UD Songo, Juwaneng Galaxy, Kizer Chief n.k zote izo mechi alianzia ugenini na kutolewa Nyumbani.

Azam pia walianzia ugenini na kutolewa Nyumbani.
Yanga wanatakiwa kuimaliza mechi kule ugenini kwakua wameshawahi fanya hivyo mara kadhaa.
 
Awali ya yote niwakumbushe tu kuwa FAR Rabat ya aliyekuwa kocha wenu, Nabi, imeua mtu (Asko: 7-0) kule Morocco hapo jana baada ya kumpiga Asko na kitu chenye ncha kali. Tulimpenda Asko lakini Mungu amempenda zaidi. Ina lilah Rahjiuni
 
Al Merrekh ya Sudan baada ya kutinga hatua inayofata wameamua kutumia uwanja was Rwanda kama home kwahivyo watakutana na Yanga tarehe 15/9/23.

Yanga kama atatulia anaweza fuzu kwa maana ana faida mbili. 1. Anaanzia ugenini.
2. Anaanza uwanja ambao sio wa Merrekh, kwahiyo Merrekh atakosa advantage ya kuwa Sudan.

Toa maoni yako.
Badili heading sio second round ni first round
 
Awali ya yote niwakumbushe tu kuwa FAR Rabat ya aliyekuwa kocha wenu, Nabi, imeua mtu (Asko: 7-0) kule Morocco hapo jana baada ya kumpiga Asko na kitu chenye ncha kali. Tulimpenda Asko lakini Mungu amempenda zaidi. Ina lilah Rahjiuni
Kumbe habari njema hii
 
Al Merrekh ya Sudan baada ya kutinga hatua inayofata wameamua kutumia uwanja was Rwanda kama home kwahivyo watakutana na Yanga tarehe 15/9/23.

Yanga kama atatulia anaweza fuzu kwa maana ana faida mbili. 1. Anaanzia ugenini.
2. Anaanza uwanja ambao sio wa Merrekh, kwahiyo Merrekh atakosa advantage ya kuwa Sudan.

Toa maoni yako.
Azam katolewa nyumbani kwao, kama huna uwezo unapigwa popote
 
Awali ya yote niwakumbushe tu kuwa FAR Rabat ya aliyekuwa kocha wenu, Nabi, imeua mtu (Asko: 7-0) kule Morocco hapo jana baada ya kumpiga Asko na kitu chenye ncha kali. Tulimpenda Asko lakini Mungu amempenda zaidi. Ina lilah Rahjiuni
Madogo wanaofuata hawana akili nzuri.
 
Kwa habari mpya nilizozipata iv punde el merreikh wamehamia morroco na sio rwanda tena
Hata wahamishie huko Afghanstan! Bado kichapo kiko pale pale. Na wajiandae kupigwa mechi zote mbili.
 
Hata wahamishie huo Afghanstan! Bado kichapo kiko pale pale. Na wajiandae kupigwa mechi zote mbili.
Sio raundi ya awali hii ujue. Pia ujue sio shirikisho hii. Pia ujue kuna kupigiana penati, kwa hiyo golikipa atakayekaa langoni awe mjanja mjanja, sio wa kufungwa penati hata na wajamaa wa Djibouti
 
Kikubwa maandalizi kuanzia ugenini pekeyake si fursa. Tumeona Simba alishawahi tolewa na UD Songo, Juwaneng Galaxy, Kizer Chief n.k zote izo mechi alianzia ugenini na kutolewa Nyumbani.

Azam pia walianzia ugenini na kutolewa Nyumbani.
Yanga wanatakiwa kuimaliza mechi kule ugenini kwakua wameshawahi fanya hivyo mara kadhaa.
Ni afadhali umempa somo kupitia Simba na Azam. Si vibaya kujifunza kwa mwenzio
 
Back
Top Bottom