CAG abaini wanafunzi 23,000 kukatisha masomo kwa mimba, Kinondoni kinara

CAG abaini wanafunzi 23,000 kukatisha masomo kwa mimba, Kinondoni kinara

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini katika Mamlaka 19 za Seri kali za Mitaa, , wanafunzi 23,009 wamekatisha masomo yao shule za sekondari kutokana na ujauzito, huku Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ikiongoza.

Katika shule za msingi, wanafunzi 19,945 hawakumaliza masomo kutokana na sababu hiyo. Ripoti hiyo, imebaini Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, inaongoza kwa wanafunzi wake kukatisha masomo wakiwamo 9,045, ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, walioacha masomo 2,172.

Kwa mujibu wa Ripoti Kuu ya Ukaguzi wa Serikali za Mitaa (LGAs) ya mwaka 2021/22, CAG Charles Kichere, alibaini wanafunzi wa sekondari waliokatisha masomo ni sawa na asilimia 28, kati ya 82,236 waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 па kutakiwa kuhitimu mwaka 2021

Kwenye ripoti hiyo, CAG ameeleza sababu za kukatisha masomo zilikuwa ni pamoja na ujauzito kwa wanafunzi wa kike, umbali mrefu kutoka makazi ya wanafunzi hadi shuleni, malezi ya familia na sababu binafsi. Ripoti hiyo inaonyesha kila halmashauri na idadi ya wanafunzi waliokatisha masomo kwenye mabano ni Kinondoni (4,652), Mji Newala (3,783), Misungwi (2,570), Morogoro (1,948) na Moshi (1,270). Nyingine Kilosa (1,246), Temeke (1,185), Buhigwe (908), Gairo (700) na Mpanda (691).

Shule nyingine ni Tandahimba (685), Kalambo (669), Mwanga (536), Busokelo (468), Newala (453), Kigamboni (426), Mji Masa-si (392), Makete (382) n Monduli (45).

Wakati kwa shule za msingi ni Gairo (1,365), Kwimba (9,045), Uvinza (2,172), Kilosa (2,096) na Nsimbo (1,545). Alizitaja nyingine ni Kibondo (1,416), Kibaha (806), Morogoro (641), Mwanga (460), Newala (345), Makete (54).

Kutokana na tatizo hilo, CAG alipendekeza kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iandae programu za kuzifikia jamii husika, kuhimiza wazazi na walezi ku-waandikisha wanafunzi katika shule zilizo karibu.

Aidha, alipendekeza serikali za mitaa kujenga shule mpya karibu na vijiji, kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kwa kujumuisha vifaa vinavyofaa vya kufundishia na kujifunza, kuhimiza michezo na kutoa elimu ya taaluma na ufundi stadi.
 
Jamani kwani mimba wanapewa na na nina kwa nini wanakubali kupewa mimba? Je mimba zina manufaa gani kwa watoto wa shule katika Taifa hili
 
Ile sheria ya 30 yrs in jail kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi haiwafanyi watia mimba waogope, itabidi tubadili uelekeo, lengo mtoto wa kike naye asome ili afikie ndoto yake, wizara zinazohusika zishirikiane ili elimu ya uzazi iwafikie walengwa, njia za kuzuia mimba ziwafikie walengwa hasa matumizi ya condoms, injections etc etc,haki ya abortion iwepo kwa msichana/mwanafunzi
 
Ile sheria ya 30 yrs in jail kwa kosa la kumpa mimba mwanafunzi haiwafanyi watia mimba waogope, itabidi tubadili uelekeo, lengo mtoto wa kike naye asome ili afikie ndoto yake, wizara zinazohusika zishirikiane ili elimu ya uzazi iwafikie walengwa, njia za kuzuia mimba ziwafikie walengwa hasa matumizi ya condoms, injections etc etc,haki ya abortion iwepo kwa msichana/mwanafunzi
[emoji23][emoji23][emoji23]Nature haina mbadala,mnakaza mafuvu.
14 years msichana apewe mji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanafunzi wanaopata mimba wanaruhusiwa wakajifungue alau warudi shuleni sasa kuna tatizo gani? Hawa wazungu wanatufanya waafrika zumbukuku wanatulazimisha kufanya mambo wanayotaka wao wakati huko kwao nadra kumkuta mwanafunzi amekatiza masomo sababu ya mimba sisi huku kwetu wanaambiwa wazae tu alafu warudi shuleni
 
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini katika Mamlaka 19 za Seri kali za Mitaa, , wanafunzi 23,009 wamekatisha masomo yao shule za sekondari kutokana na ujauzito, huku Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ikiongoza.

Katika shule za msingi, wanafunzi 19,945 hawakumaliza masomo kutokana na sababu hiyo. Ripoti hiyo, imebaini Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, inaongoza kwa wanafunzi wake kukatisha masomo wakiwamo 9,045, ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, walioacha masomo 2,172.

Kwa mujibu wa Ripoti Kuu ya Ukaguzi wa Serikali za Mitaa (LGAs) ya mwaka 2021/22, CAG Charles Kichere, alibaini wanafunzi wa sekondari waliokatisha masomo ni sawa na asilimia 28, kati ya 82,236 waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 па kutakiwa kuhitimu mwaka 2021

Kwenye ripoti hiyo, CAG ameeleza sababu za kukatisha masomo zilikuwa ni pamoja na ujauzito kwa wanafunzi wa kike, umbali mrefu kutoka makazi ya wanafunzi hadi shuleni, malezi ya familia na sababu binafsi. Ripoti hiyo inaonyesha kila halmashauri na idadi ya wanafunzi waliokatisha masomo kwenye mabano ni Kinondoni (4,652), Mji Newala (3,783), Misungwi (2,570), Morogoro (1,948) na Moshi (1,270). Nyingine Kilosa (1,246), Temeke (1,185), Buhigwe (908), Gairo (700) na Mpanda (691).

Shule nyingine ni Tandahimba (685), Kalambo (669), Mwanga (536), Busokelo (468), Newala (453), Kigamboni (426), Mji Masa-si (392), Makete (382) n Monduli (45).

Wakati kwa shule za msingi ni Gairo (1,365), Kwimba (9,045), Uvinza (2,172), Kilosa (2,096) na Nsimbo (1,545). Alizitaja nyingine ni Kibondo (1,416), Kibaha (806), Morogoro (641), Mwanga (460), Newala (345), Makete (54).

Kutokana na tatizo hilo, CAG alipendekeza kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iandae programu za kuzifikia jamii husika, kuhimiza wazazi na walezi ku-waandikisha wanafunzi katika shule zilizo karibu.

Aidha, alipendekeza serikali za mitaa kujenga shule mpya karibu na vijiji, kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kwa kujumuisha vifaa vinavyofaa vya kufundishia na kujifunza, kuhimiza michezo na kutoa elimu ya taaluma na ufundi stadi.
Hilzo ni sera za ccm!
Hizo ni sera za ccm!
 
Duh! kweli 'hesabu za serikali ' zina wigo mpana.
Pesa zinazowekezwa kwenye miradi ikiwemo Elimu lazima ziangaziwe kutoa matokeo chanya.

Sasa habari za kudrop shule kama hivi inaonesha matokeo hasi.

Angalia mapendekezo yaliyotolewa, yakitekelezwa lazima pesa ya Gavo itumike.
 
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini katika Mamlaka 19 za Seri kali za Mitaa, , wanafunzi 23,009 wamekatisha masomo yao shule za sekondari kutokana na ujauzito, huku Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ikiongoza.

Katika shule za msingi, wanafunzi 19,945 hawakumaliza masomo kutokana na sababu hiyo. Ripoti hiyo, imebaini Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, inaongoza kwa wanafunzi wake kukatisha masomo wakiwamo 9,045, ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, walioacha masomo 2,172.

Kwa mujibu wa Ripoti Kuu ya Ukaguzi wa Serikali za Mitaa (LGAs) ya mwaka 2021/22, CAG Charles Kichere, alibaini wanafunzi wa sekondari waliokatisha masomo ni sawa na asilimia 28, kati ya 82,236 waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 па kutakiwa kuhitimu mwaka 2021

Kwenye ripoti hiyo, CAG ameeleza sababu za kukatisha masomo zilikuwa ni pamoja na ujauzito kwa wanafunzi wa kike, umbali mrefu kutoka makazi ya wanafunzi hadi shuleni, malezi ya familia na sababu binafsi. Ripoti hiyo inaonyesha kila halmashauri na idadi ya wanafunzi waliokatisha masomo kwenye mabano ni Kinondoni (4,652), Mji Newala (3,783), Misungwi (2,570), Morogoro (1,948) na Moshi (1,270). Nyingine Kilosa (1,246), Temeke (1,185), Buhigwe (908), Gairo (700) na Mpanda (691).

Shule nyingine ni Tandahimba (685), Kalambo (669), Mwanga (536), Busokelo (468), Newala (453), Kigamboni (426), Mji Masa-si (392), Makete (382) n Monduli (45).

Wakati kwa shule za msingi ni Gairo (1,365), Kwimba (9,045), Uvinza (2,172), Kilosa (2,096) na Nsimbo (1,545). Alizitaja nyingine ni Kibondo (1,416), Kibaha (806), Morogoro (641), Mwanga (460), Newala (345), Makete (54).

Kutokana na tatizo hilo, CAG alipendekeza kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iandae programu za kuzifikia jamii husika, kuhimiza wazazi na walezi ku-waandikisha wanafunzi katika shule zilizo karibu.

Aidha, alipendekeza serikali za mitaa kujenga shule mpya karibu na vijiji, kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kwa kujumuisha vifaa vinavyofaa vya kufundishia na kujifunza, kuhimiza michezo na kutoa elimu ya taaluma na ufundi stadi.
Sheria ifanyiwe marekebisho ili mtia na mtiwa mimba wote wapate kuadhibiwa kwa kifungo cha miaka kama mitano, na wakimaliza vifungo vyao waishi kisheria kama mume na mke chini ya uangalizi wa karibu wa ustawi wa jamii.

Hivi vibinti navyo vinaendekeza sana ngono, vinapenda sana vitu vya dezo kiasi kwamba inakuwa rahisi sana kudanganyika. Ni jukumu la wazazi kuwajali na kuwaangalia kwa ukaribu watoto zao, ikiwamo watoto wa kike, lakini licha ya jukumu hili, nao pia wanawajibika kujichunga wenyewe dhidi ya tamaa mbaya za ngono za utotoni.

Hivi vibinti vinapokuwa vikiliwa uroda, kwani ni mzazi gani anakuwa ameridhia!? Vinapoanza mahusiano ya awali kwa siri, hivi ni nani wa kulaumiwa? Ni lazima kabinti kama haka kapewe muda wa uangalizi kakiwa kolokoloni, ili kakitoka huko kawe kamepevuka vya kutosha, kisha kaingizwe rasmi katika maisha ya ndoa na huyo mshirika mwenzake katika jinai.

Jukumu la kurudi kusoma la hawa mabinti waliokabiliwa na tazizo la "early pregnancies & school dropouts" liusishwe kisheria na mtu aliyempa mimba
Katika hili nafikiri JPM alikuwa sawa, pengine tatizo tu lilikuwa ni katika "approach" aliyoitumia.
 
Ai wameruhusiwa kugongana?? Hamna mchawi hapo, wameambiwa katianeni mkimaliza miooni shule...
 
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini katika Mamlaka 19 za Seri kali za Mitaa, , wanafunzi 23,009 wamekatisha masomo yao shule za sekondari kutokana na ujauzito, huku Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ikiongoza.

Katika shule za msingi, wanafunzi 19,945 hawakumaliza masomo kutokana na sababu hiyo. Ripoti hiyo, imebaini Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, inaongoza kwa wanafunzi wake kukatisha masomo wakiwamo 9,045, ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, walioacha masomo 2,172.

Kwa mujibu wa Ripoti Kuu ya Ukaguzi wa Serikali za Mitaa (LGAs) ya mwaka 2021/22, CAG Charles Kichere, alibaini wanafunzi wa sekondari waliokatisha masomo ni sawa na asilimia 28, kati ya 82,236 waliojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 па kutakiwa kuhitimu mwaka 2021

Kwenye ripoti hiyo, CAG ameeleza sababu za kukatisha masomo zilikuwa ni pamoja na ujauzito kwa wanafunzi wa kike, umbali mrefu kutoka makazi ya wanafunzi hadi shuleni, malezi ya familia na sababu binafsi. Ripoti hiyo inaonyesha kila halmashauri na idadi ya wanafunzi waliokatisha masomo kwenye mabano ni Kinondoni (4,652), Mji Newala (3,783), Misungwi (2,570), Morogoro (1,948) na Moshi (1,270). Nyingine Kilosa (1,246), Temeke (1,185), Buhigwe (908), Gairo (700) na Mpanda (691).

Shule nyingine ni Tandahimba (685), Kalambo (669), Mwanga (536), Busokelo (468), Newala (453), Kigamboni (426), Mji Masa-si (392), Makete (382) n Monduli (45).

Wakati kwa shule za msingi ni Gairo (1,365), Kwimba (9,045), Uvinza (2,172), Kilosa (2,096) na Nsimbo (1,545). Alizitaja nyingine ni Kibondo (1,416), Kibaha (806), Morogoro (641), Mwanga (460), Newala (345), Makete (54).

Kutokana na tatizo hilo, CAG alipendekeza kwa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), iandae programu za kuzifikia jamii husika, kuhimiza wazazi na walezi ku-waandikisha wanafunzi katika shule zilizo karibu.

Aidha, alipendekeza serikali za mitaa kujenga shule mpya karibu na vijiji, kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kwa kujumuisha vifaa vinavyofaa vya kufundishia na kujifunza, kuhimiza michezo na kutoa elimu ya taaluma na ufundi stadi.
Mimba za walimu hizo
 
Sheria ifanyiwe marekebisho ili mtia na mtiwa mimba wote wapate kuadhibiwa kwa kifungo cha miaka kama mitano, na wakimaliza vifungo vyao waishi kisheria kama mume na mke chini ya uangalizi wa karibu wa ustawi wa jamii.

Hivi vibinti navyo vinaendekeza sana ngono, vinapenda sana vitu vya dezo kiasi kwamba inakuwa rahisi sana kudanganyika. Ni jukumu la wazazi kuwajali na kuwaangalia kwa ukaribu watoto zao, ikiwamo watoto wa kike, lakini licha ya jukumu hili, nao pia wanawajibika kujichunga wenyewe dhidi ya tamaa mbaya za ngono za utotoni.

Hivi vibinti vinapokuwa vikiliwa uroda, kwani ni mzazi gani anakuwa ameridhia!? Vinapoanza mahusiano ya awali kwa siri, hivi ni nani wa kulaumiwa? Ni lazima kabinti kama haka kapewe muda wa uangalizi kakiwa kolokoloni, ili kakitoka huko kawe kamepevuka vya kutosha, kisha kaingizwe rasmi katika maisha ya ndoa na huyo mshirika mwenzake katika jinai.

Jukumu la kurudi kusoma la hawa mabinti waliokabiliwa na tazizo la "early pregnancies & school dropouts" liusishwe kisheria na mtu aliyempa mimba
Katika hili nafikiri JPM alikuwa sawa, pengine tatizo tu lilikuwa ni katika "approach" aliyoitumia.
Dah ila wanawake nao wana matatizo unakuta kuna jmaa wanamfuatilia wala hasemi kwao ila ndo anajiona msichana
 
Jamani kwani mimba wanapewa na na nina kwa nini wanakubali kupewa mimba? Je mimba zina manufaa gani kwa watoto wa shule katika Taifa hili
Nafikiri tungemfanyia utafiti kuone kama baadae ya agizo kuruhusu watoto wa kike wakipewa mimba wanaruhusiwa kuzaa na kurudi mashule limechangia ongezeko la mimba wanafunzi wa kike.Ikiwa itaonyesha hivyo tusione ugumu kurudisha Sheria Ile kwamba wanafunzi akitiwa mimba Basi ameijotoa kwenye mfumo wa koserikali wa masomo shuleni.
Yako mambo yanafanyika na Serikali haijui kabisa.kuna jamaa kamtia mimba mwanafunzi.mzazi akaona isiwe shida.akamwita mtia mimba akamwambia achague Kati ya mawili.kwenda jela 30 years au kulipa ada from Form one to Form six.jamaa kaamua kulipa 15 million ada ya Miaka yote ya sekondari
 
... even basic education? CAG's concern is not about phd's and the like; rather is about fundamental level.
What constitute a basic education? That formal, which is faulty provided by government preparing a child to be useless?
 
Back
Top Bottom