CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Again vyote ulivyotoa havina umuhimu..

Very simple ... Tesla haijawahi kupata hasara??????... hata ATCL haijawahi kupata hasara... ila inatengeneza faida ambayo haijazidi gharama za uendeshaji...

Kuelimika sio kuwa na madata..
Ni kuweza kuelezea kitu hata mjinga akaelewa... View attachment 1739134
 
Hakuna faida katika shirika la ndege ambalo ndege zake nyingi zinasafiri zikiwa half empty au almost empty majority of the time. Hiyo ya faida itaanza kuwa generated in 15 to 20 years ni ndoto za ALINACHA wakati ukiwa hujui what will be the business environment after 15/20 years.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…